Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika, kuhisika na kupimika.

Upepo upo kwa kuhisika, kupimika na kusikika.

Upepo ukivuma unasikika, Pia tunauhisi.

Upepo unapimika. Tunaweza kupima upepo kwa kutumia vifaa kama Anemometer na Windvane.
View attachment 3208770

Sasa huyo Mungu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.

Huyo Mungu Haonekani, Hashikiki, Hasikiki, Haisiki na wala Hapimiki.

Mungu huyo ni mawazo ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.

Mungu hayupo katika uhalisia bali katika mawazo na imani za kufikirika tu.

Mungu huyo mmemtunga huko vichwani mwenu tu, na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.
Haya poa 😂😂
 
Infropreneur 14:7
Ulimwengu na vyote vilivyomo duniani except man-made things ni vya kipekee. Havijaumbwa na yeyote yule na wala havihitaji muumbaji.

14:8- Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na muumbaji, Hata muumbaji wa kila kitu lazima awe na muumbaji wake mwingine.

14:9- Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo muumbaji, Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist chenyewe pasipo muumbaji. Ili muundo wa ulazima huu ufuatwe na kila kitu na u apply kwenye kila kitu.

14:10- Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina muumbaji, Hata Jua☀️ na ulimwengu kwa ujumla HAVINA Muumbaji.
Haujajibu swali bado

Hizo theory zako ulizonukuu zinasema sio Kila kitu lazima kiwe na muumbaji kwahiyo hata Jua pia halina muumbaji it's means limezuka

Sasa swali langu Kwa Nini hayazuki majua mengine badala yake lipo hilo hilo Kwa mamilioni ya miaka?

Au genius wako aliyekuandikia hizo theory amekuwa bubu katika hili?
 
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika, kuhisika na kupimika.

Upepo upo kwa kuhisika, kupimika na kusikika.

Upepo ukivuma unasikika, Pia tunauhisi.

Upepo unapimika. Tunaweza kupima upepo kwa kutumia vifaa kama Anemometer na Windvane.
View attachment 3208770

Sasa huyo Mungu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.

Huyo Mungu Haonekani, Hashikiki, Hasikiki, Haisiki na wala Hapimiki.

Mungu huyo ni mawazo ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.

Mungu hayupo katika uhalisia bali katika mawazo na imani za kufikirika tu.

Mungu huyo mmemtunga huko vichwani mwenu tu, na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.
Koo ww huoni signs za Uwepo wa Mungu sio ?
 
Karibu uokoke ndugu. namwona Mungu isivyo kawaida katika ukuu kila siku yaani ananishangaza sana. Alafu anavyobariki, anavyoponya na kufungua watu nabaki kinywa wazi.
Afu uko serious kabisa!
 
Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu kabla ya kusema ni timeless, spaceless na immaterial.

Hizi factors mbili "personal ma intelligent" umezipachika sasa hivi.

Thibitisha uwepo wa Mungu na eleza ulijuaje huyo Mungu ni timeless, spaceless na immaterial?

Au unajaribu kufosi imani zako ulizo aminishwa na mafundisho yako ya kidini.
Huwezi kuthibitisha kitu chochote duniani isipokuwa huwa tunaangalia what is plausible. Did the universe come from nothing or it came from something? Tukiangalia ontological argument, cosmological argument na intelligent design argument ni kwamba the evidence points to a designer na huyo designer by default anakuwa timeless, spaceless, immaterial, intelligent na personal kwa sababu time, space na material zina mwanzo. Kabla ya kuja kuuliza hayo maswali hebu kasome hizo hoja Kwa umakini utagundua maswali hayo yalishajibiwa miaka mingi Sana iliyo pita.
 
Biblia inasema yaliyofunuliwa ni yetu yaliyofichwa ni ya Mungu mwenyewe.

Maswali uliyoniuliza ni sawa na umuulize kuku asili ya anayemfuga (mwanadamu)

bila Shaka hatojua Ila mmiliki anaweza jua asili yake na ya Hugo kuku na akifa Amanda wapi ( tumboni) .

Kama ufahamu wa ngombe, kuku, mbuzi, bata ulivyo mdogo juu ya mwanadamu ndivyo ufahamu wa mwanadamu ulivyo mdogo juu ya Mungu hivyo hivyo, na ukijaribu kumfanya kuku ajifunze kuhusu mwanadamu utaishia kumuua tu ndio maana Biblia inasema hakuna aliyemuona Mungu akaishi ikimaanisha ufahamu huu wa milango 5 hauwezi muelewa Mungu maana uko limited Sana Ila utakapotoka katika mwili huu roho yako itamwona USO kwa USO ndipo wengine watafurahi milele kukutana na muumba wao na wengine aibu, mateso, na dhiki ya milele.
Kama hakuna aliyewahi kumuona Mungu, Wewe ulimuona wapi ukajua yupo?

Kama huyo Mungu hajawahi kuonekana, ilijulikanaje kwamba yupo?

Au unafosi imani zako ulizo aminishwa na kupumbazwa na dini yako?
 
Haujajibu swali bado

Hizo theory zako ulizonukuu zinasema sio Kila kitu lazima kiwe na muumbaji kwahiyo hata Jua pia halina muumbaji it's means limezuka
Na hizo hadithi zako za Quran zinasema kwamba Mungu hana muumbaji, it means alizuka tu?

Jua halijazuka.

Jua limekuwepo milele.
Sasa swali langu Kwa Nini hayazuki majua mengine badala yake lipo hilo hilo Kwa mamilioni ya miaka?
Kwa sababu Jua ☀️ ni mmoja tu.

Lilikuwepo, lipo na litaendelea kuwepo milele yote.
Au genius wako aliyekuandikia hizo theory amekuwa bubu katika hili?
Huyo aliyekuandika hizo hadithi za Quran amekuwa bubu kukwambia huyo Mungu aliumbwa na nani pia?

Huyo aliyekuandika hadithi za Quran Anataka kufosi tu jua liwe na muumbaji, Halafu kashindwa kuelezea muumbaji wa huyo Mungu ni nani?
 
Koo ww huoni signs za Uwepo wa Mungu sio ?
Mungu ni dhana uchwara tu.

Mungu ni dhana uchwara iliyotungwa na watu tu.

Mungu ni imaginations just an illusion.

Mungu hayupo katika uhalisia bali katika dhana ya kufikirika tu.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
 
Sorry ........ I believe in God and not religion
Hapo imekaeje
If you believe in God, why do you cling on biblical teachings? Of which the God you believe is tied to?
Hiyo tayari ni dini. Au fafanua huyo mungu wako unaemaamini unamfahamu vipi?
 
"He(God) has created man from Nutfah (mixed drops of male and female sexual discharge), then behold, this same (man) becomes an open opponent." 16:4 Qur'an
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini.
Asilimia kubwa ya vijana tumevulugwa, Yani kitendo Cha kumiliki simu janja tayari shetani na Mungu umewaondoa
 
Huwezi kuthibitisha kitu chochote duniani isipokuwa huwa tunaangalia what is plausible. Did the universe come from nothing or it came from something? Tukiangalia ontological argument, cosmological argument na intelligent design argument ni kwamba the evidence points to a designer na huyo designer by default anakuwa timeless, spaceless, immaterial, intelligent na personal kwa sababu time, space na material zina mwanzo. Kabla ya kuja kuuliza hayo maswali hebu kasome hizo hoja Kwa umakini utagundua maswali hayo yalishajibiwa miaka mingi Sana iliyo pita.
Cosmological arguments ni hoja zilizojaribu ku assume kuna Mungu kwa kupitia mifano ya mazingira. Hazithibitishi uwepo wa Mungu.

Hoja za ontolojia, kosmolojia na hiyo ya intelligent design ni assumptions tu. Sio uthibitisho wa uhakika wa uwepo wa Mungu.

Kutumia mifano ya mazingira na viumbe kusema kwamba ndio uthibitisho wa uwepo wa Mungu ni kufanya logical fallacy ya non-sequitur.

Una unganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
Screenshot_20250120-122044_1.jpg
 
Kwa hiyo huyo Mungu analipiza kisasi kwa kuleta moto?

Huyo Mungu ni mjinga sana.

Kama anajijua ana uwezo mkubwa kuliko kiumbe chochote kile hapa duniani, Kwa nini anahangaika kutafuta kiki za kuaminiwa na viumbe alio waumba yeye mwenyewe?

Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?
Mkuu ni watanzania wachache wanao fikiri kwa kina kiasi hiki. Tuendelee kutafiti.
 
Atheist 12:7
Mpumbavu amesema moyoni, Kuna Mungu; Maana anaamini vitu vya kusadikika na kufikirika bila uthibitisho wowote ule, Amepumbazwa hakuna akiwazacho kwa kufikiri kwa kina.

Atheist 24:6
Hata ukimwelewesha mfia dini kwa facts, evidences, logic na reasoning hawezi kukuelewa maana amepumbazwa kuamini jambo bila kuhoji kwa kina.
🤣 🤣 🤣
 
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya?

Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba kuna watu watakuja kutokumwamini Awadhibiti na kuwazuia mapema wasiwepo duniani?

Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?

Mungu anayedaiwa kwamba ni mkamilifu, Kwa nini aliumba binadamu wasio mwamini na wenye uwezo wa kumkufuru?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Mkuu kina hiki cha fikra ni kirefu mno kwa mtu asiye huru kifikra. Tiririka taratibu kama vile kwa mtoto.
 
Hizi ni stori uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule.

Mnatunga vistori uchwara kutetea uwepo wa Mungu ambaye hayupo kujitetea mwenyewe.

Huyo Mungu kama yupo, Ajitokeze hadharani yeye mwenyewe ajidhihirishe yupo, Kama ana huo uwezo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumtetea huyo Mungu aonekane yupo kumbe hayupo.

Huyo Mungu kama yupo, Anacho jifichia huko alipo ni nini?

The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him kinda proves his non-existence.
Mkuu hatua kwa hatua utaeleweka.
 
Back
Top Bottom