Rasmi Putin aonesha sample za noti mpya za BRICS. Je, huu ndio mwisho wa US Dollar?

Rasmi Putin aonesha sample za noti mpya za BRICS. Je, huu ndio mwisho wa US Dollar?

Hapo sasa jdo utajua counter kutoka kwa wenye akili...mtoa mada anasema kuwa USA amenyanyasq watu na Dollar yake, sasa watu wanaleta njia ileile ya manyanyaso alafu tunashangilia...bado upatikanaji wa hiyo sarafu ikawa shida kama US Dollar vilevile.
USA akileta digital currency itakuba balaa tena.
Sisi ndio tunapenda soko huria kila mtu achague kwenye unafuu sio kila vitu vya muhimu kama mafuta ni dola,madeni ni dola hapo huo mtihani sasa ndio maana maisha yanazidi ugumu dola wao wanaiuza dunia nzima
 
Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.

BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.

China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.

Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.

Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.

Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.

Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.

Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda.
 
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, wakati yupo kwenye mkutano mkuu wa BRICS uliofanyika Kazan aliwashangaza washiriki kwa kugawa sampuli za noti mpya za Benki ya BRICS, ishara inayodaiwa kuwa mwisho wa enzi kwa Dola ya Marekani kama sarafu ya akiba duniani.

Noti hizo za BRICS, ambazo zimeonekana kwa mara ya kwanza katika hafla hiyo ya kimataifa, zimeibua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa mfumo wa fedha wa dunia.

Sarafu hiyo mpya inasemekana kuungwa mkono na bidhaa halisi kama dhahabu na mafuta, tofauti na Dola ya Marekani ambayo ni sarafu ya "fiat" isiyo na dhamana ya moja kwa moja ya mali.



Sarafu ya BRICS Kuipiku Dola ya Marekani?

Wachambuzi wanaeleza kuwa uzinduzi wa sarafu ya BRICS huenda ukawa mwanzo wa kipindi kipya cha kutoitegemea Dola ya Marekani katika biashara za kimataifa.


Wanaonya kuwa sarafu hiyo mpya inaweza kupunguza sana ushawishi wa kiuchumi wa Marekani ulimwenguni, hasa kutokana na ukweli kwamba nchi nyingi zinaweza kuacha kutumia Dola kama sarafu ya kibiashara.

 
Wandugu mkae mkijua usd inaenda kuanguka na kupoteza umaarufu katika soko la Dunia.
Nitaeleza Kwa lugha nyepesi ili watu wasio wachumi wenzangu mnielewe.

Pesa kubwa duniani.

Kabla ya Euro kulikua Kuna Paund na USD.
Euro ilianzishwa baadae sana mwishoni mwa miaka ya 90.
Kwa Sasa kwa umaarufu Euro imeifunika Paund ya Uingereza.

Kwa Nini USD inaenda kupoteza nguvu umaarufu na kuanguka baada ya ujio wa fedha ya BRICS?

Haihitaji kua na elimu ya uchumi kuelewa hili.
Iko hivi.

Hakuna asiejua kua, USD ndio fedha pekee inayotumiwa na watu wengi zaidi ama nchi nyingi zaidi hapa duniani kwa ajili ya kubadilishana kati ya fedha na bidhaa.

Sasa iwapo itapatikana fedha nyingine ambayo imeundwa kutoka kwenye nchi zenye idadi kubwa sana ya watu hapa duniani,mfano china ,India, Brazil,Urusi na nchi nyingine.
Na Kuna nchi nyingi zimeonesha kiu ya kujiunga,
Kwa maana hiyo nchi zote hizo zitaachana na matumizi ya USD katika kufanya biashara baina Yao,yaani baina ya nchi wanachama wa BRICS .
Kwa Hali hiyo,dola itakua imepoteza umaarufu na nguvu.

Mfano,mtu akitaka kununua bidhaa kutoka nchi mwanachama wa BRICS,nchi muuzaji itamuambia alipe kwa fedha ya BRICS badala ya USD,
Hapa USD itakua imepeoteza umaarufu na nguvu.
Matumizi ya USD yataenda kupungua kwa sababu nchi nyingi sana zitaacha kuzitumia USD kama chombo Cha kubadilishana bidhaa.
Sasa kama nchi zitaachana na USD kwa Hali ya kawaida haiwezi kubaki na thamani ileile.

Kwa mfano Sasa hivi ukitaka kununua kitu chochote nje ya nchi,kama
vile kununua magari ama bidhaa nyingine kutoka Japan,china,India,Urusi,south Africa,Saudi Arabia,Iran,Dubai, Malaysia, Singapore, Korea kusini, Philippines, Taiwan, Israel,Canada n.k ni lazima ulipie kwa USD,.
Lakini BRICS currency ikija, nchi nyingi zitahamia kwa fedha ya BRICS,
Huo pia utakua ni mwanzo wa kupoteza umaarufuwa USD.

Kwa lugha rahisi kabisa kama fedha ilikua inatumiwa na nchi nyingi,nchi nyingine nyingi zikaamua kuachana nayo hakika thamani yake haiwezi kubaki kama ilivyokua mwanzo.

Hata hivyo kitakachotokea

Nadhani watu wengi hapa wanatakiwa watofautishe kati ya USD kushuka thamani na USD kupoteza umaarufu.
Kwa mtazamo wangu naamini USD haitashuka thamani,Bali itapoteza umaarufu.
USD itabaki na thamani yake,kwa sababu hata Marekani yenyewe itakua inauza bidhaa zake kwa USD,


ingawa nayo italazimika kununua bidhaa kutoka kwa BRICS members kwa kutumia fedha ya BRICS.
Wakati Sasa hivi ukienda kununua bidhaa Marekani utalipa kwa USD na Marekani ikija kununua bidhaa kwako italipa kwa USD .

Anguko lingine la USD ni haitatimika Tena kama fimbo kuzichapia nchi hasimu wa Marekani
Hapa nguvu ya USD itakua imekwisha kabisa.


Hali hii ndio iliikumba Pound ya Uingereza.
Kabla ya kuanzishwa kwa euro,pound ya Uingereza ilikua maarufu sana,lkn Sasa hivi imebaki na thamani yake lkn sio maarufu kama euro.

Mtazamo wangu.
 
FB_IMG_17297758549879167.jpg
 
Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.

BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.

China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.

Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.

Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.

Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.

Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.

Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda.
💯%.

That’s why I said it was wishcasting.
 
Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.

BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.

China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.

Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.

Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.

Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.

Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.

Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda.
Unajua Marekani na ulaya wote Bado wanafanya Biashara na Urusi pamoja na kuweka vikwazo vyao vyote!?? Na unajue kuwa hawatumii dollar kama medium of exchange!? .... Unajua Hilo Kwanza kuwa Marekani na ulaya Bado Wanafanya Biashara na Urusi Ili tuendelee!??
 
That is wishcasting!

The US is still king.

If the Euro couldn’t do it [with a much higher combined GDP and advanced economies of its members], then, whatever that BRICS currency is, ain’t got no chance against the $US.

💵 is and will be king for a long time.
🤔🤔🤔🤔
 
Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.

BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.

China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.

Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.

Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.

Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.

Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.

Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda.
Sawa tumekusikia acha waweke mfumo leo Hii dola Marekani akiamua apunguze mzunguko wake hapa tunaanza kutafutana acha liwe soko huria mtu apate anachotaka. Ndio maana umeona mafuriko ya nchi nyingi kutaka kuingia BRiCS wamechoka dola ni mfumo wa kibepari mbona Gadaffi alifanikiwa sana tu na maisha yalikua mazuri sio lazima kufanya biashara a US hapa duniani kila kitu kina mbadala wake japo havilingani
 
Hii pesa kama itapunguza makali ya bei ya mafuta duniani itakuwa Safi sana.....ila kama ipo kwaajili ya kuishusha dollar itakuwa ni UJINGA mtupu
Dola inajishusha yenyewe. Mlikua mkitaka kwenda China unaenda benki Unaambiwa utapata mwisho Dola elfu 1000 ukiangalia mahitaji Yako yanazidi Dola elfu hamsini unadhani utaacha kutumia Bricks currency
 
Hiyo sarafu imekaa kipropaganda zaidi. Na anayefanya hiyo propaganda anafahamika.

BRICS imekosa common values za kuweza kuendesha mfumo wake wa kifedha kama huo. Nchi wanachama karibu zote zina ushirika wa karibu wa kibiashara (trading partnership) na Marekani ambayo huwa hainunui bidhaa kwa pesa tofauti na US Dollar.

China ndiye mwanachama wa BRICS mwenye uchumi mkubwa zaidi. Mshirika mkubwa wa kibiashara wa China ni Marekani. Nchi zingine zilizopo ndani ya BRICS kama India, Brazil na South Africa nazo zina ushirika mkubwa wa kibiashara (bilateral trade) na Marekani hiyohiyo.

Nimeona mahali Ramaphosa wa South Africa anasema kwamba Urusi ni "valuable ally" wa South Africa. Ukweli ni kwamba, Urusi haipo hata kwenye top 10 ya washirika wa karibu wa South Africa kibiashara. Hao wawili ni mfano mmoja tu wa member states ndani ya BRICS ambao hawafanyi biashara yoyote ya maana kimataifa. Kwa lugha nyingine, insignificant trade partnership.

Maana yake ni kwamba, member states zinatofautiana sana kimaslahi hasa linapokuja suala la uchumi. Nchi zinazopigia chapuo hiyo sarafu mpya ni chache tu ambazo ziko kwenye vikwazo vikubwa vya kiuchumi vya Marekani. Miongoni mwazo ni Urusi, Iran pamoja na North Korea ambazo zinashika hili bango la noti mpya kwa maslahi yao yanayotokana na kuwa na uhasama wa muda mrefu na Marekani.

Lakini tukijikita kwenye bigger picture, hakuna nchi yenye ushirika wa kibiashara na Marekani ambayo iko tayari kujitoa muhanga kiuchumi kwa kuachana na Dollar ili tu kuimarisha uhusiano na Urusi, Iran ama North Korea.

Kuna habari kwamba Zimbabwe na Venezuela pia zinataka kujiunga na BRICS. Matatizo ya hizo nchi ni ya kisera na siasa zao za ndani ambazo zimeharibu uchumi wa nchi lakini kwa namna fulani Mnangagwa na Maduro wanadhani wanaweza kuitumia BRICS kisiasa ili kuongeza chochote cha maana kwenye uchumi wa nchi zao.

Ni vigumu kujenga uchumi kwa mihemko na propaganda.
Wabongo Kwa ujuaji hakuna binadamu anatuweza hapa duniani.
Yaani unataka kubishana Hadi na akina Ramaphosa.
Aisee uko vizuri.
Hata wakati euro inaanzishwa Kuna watu kama wewe walikuaja na ngonjera zao lkn euro Leo IPO na inadunda.
Mimi Kila siku hua nasema ,wewe Mtanzania hauwezi kuwa na akili kuliko viongozi, wasomi,wachumi na wataalamu na wabunge kutoka nchi za BRICS na wa nchi zinazotaka kujiunga na BRICS.
Hao wote hawawezi kua wajinga ila wewe Msimbiti ukawa na akili kuwazidi wao.
 
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, wakati yupo kwenye mkutano mkuu wa BRICS uliofanyika Kazan aliwashangaza washiriki kwa kugawa sampuli za noti mpya za Benki ya BRICS, ishara inayodaiwa kuwa mwisho wa enzi kwa Dola ya Marekani kama sarafu ya akiba duniani.

Noti hizo za BRICS, ambazo zimeonekana kwa mara ya kwanza katika hafla hiyo ya kimataifa, zimeibua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa mfumo wa fedha wa dunia.

Sarafu hiyo mpya inasemekana kuungwa mkono na bidhaa halisi kama dhahabu na mafuta, tofauti na Dola ya Marekani ambayo ni sarafu ya "fiat" isiyo na dhamana ya moja kwa moja ya mali.



Sarafu ya BRICS Kuipiku Dola ya Marekani?

Wachambuzi wanaeleza kuwa uzinduzi wa sarafu ya BRICS huenda ukawa mwanzo wa kipindi kipya cha kutoitegemea Dola ya Marekani katika biashara za kimataifa.


Wanaonya kuwa sarafu hiyo mpya inaweza kupunguza sana ushawishi wa kiuchumi wa Marekani ulimwenguni, hasa kutokana na ukweli kwamba nchi nyingi zinaweza kuacha kutumia Dola kama sarafu ya kibiashara.


Noti gàni inamabendera
 
Back
Top Bottom