Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Tengeneza yako ya kivivu kama aliyebuni bendera ya Japan....Noti gàni inamabendera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tengeneza yako ya kivivu kama aliyebuni bendera ya Japan....Noti gàni inamabendera
Sikumbuki exact date kwa kuwa halikuwa muhimu sana kwangu.But I guess it was around mid year.Ila wengi tuliosikia kifo chake we celebrated,he was so evil.Alikufa lini mkuu
Wewe unaota? Unajua ni nani amewekeza kwa kiasi kikibwa China? Unajua soko kubwa laChina katika thamani liko wapi? Unajua ni kwa nini serikali ya China ndiyo inayoongoza katika kununua treasury bills za Serikali ya Marekani?China haitegemei USA na Iran ndio kabisa haitegemei USA.
Japo sijajua kama ameingia bricks rasmi huyu Iran.
We unaona hilo likiwezekana?Hata kuishusha thamani US Dollar ni muhimu sana mkuu.Marekani wameionea sana dunia kwa kutumia dola yao mkuu,na hiyo haikubaliki kabisa.
Mkuu ungefuguka basi,you seem to know something, but you are keeping it to yourself.Waekimishe watu,most people are ignorant of the Chinese Mushroom Economy.Wewe unaota? Unajua ni nani amewekeza kwa kiasi kikibwa China? Unajua soko kubwa laChina katika thamani liko wapi? Unajua ni kwa nini serikali ya China ndiyo inayoongoza katika kununua treasury bills za Serikali ya Marekani?
😁😁😁Si ukae kwa kutulia unahangaika nini kama umekalia gunzi ..ww unajua kuliko hao wakati una FF mbili
Una teseka ukiwa wapi !?Currency ndio kwanza inakua introduced hata kufanya kazi bado unaanza kuleta ushindani.
Wabongo bana fikra zao!
Ntachagua real money,sio karatasi.The BRICS currency is real money,because it is pegged to Gold,while the US Dollar ni karatasi,Fiat money,pegged on nothing.Infact the US Dollar is con:ni utapeli.Wew mwenyewe hapo ukiambiwa upewe hizo Brics note na US dollar utachagua ipi?
Hehehehe!Wewe unaota? Unajua ni nani amewekeza kwa kiasi kikibwa China? Unajua soko kubwa laChina katika thamani liko wapi? Unajua ni kwa nini serikali ya China ndiyo inayoongoza katika kununua treasury bills za Serikali ya Marekani?
Matofari.Hizo note zinaitwaje, brics au?
Broo umeelewa kwanini nimemjibu hivyo jamaa!??Una teseka ukiwa wapi !?
Ina maana wewe unajua Sana kuliko Putin na washirika wake !?
Hata kuunda sindano Tu hauwezi halafu unataka uwakosoe watu wanao ipasua kichwa USA na washirika wake
Ila wabongo 🚮🚮🚮😁😁😁😁
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, wakati yupo kwenye mkutano mkuu wa BRICS uliofanyika Kazan aliwashangaza washiriki kwa kugawa sampuli za noti mpya za Benki ya BRICS, ishara inayodaiwa kuwa mwisho wa enzi kwa Dola ya Marekani kama sarafu ya akiba duniani.
Noti hizo za BRICS, ambazo zimeonekana kwa mara ya kwanza katika hafla hiyo ya kimataifa, zimeibua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa mfumo wa fedha wa dunia.
Sarafu hiyo mpya inasemekana kuungwa mkono na bidhaa halisi kama dhahabu na mafuta, tofauti na Dola ya Marekani ambayo ni sarafu ya "fiat" isiyo na dhamana ya moja kwa moja ya mali.
Sarafu ya BRICS Kuipiku Dola ya Marekani?
Wachambuzi wanaeleza kuwa uzinduzi wa sarafu ya BRICS huenda ukawa mwanzo wa kipindi kipya cha kutoitegemea Dola ya Marekani katika biashara za kimataifa.
Wanaonya kuwa sarafu hiyo mpya inaweza kupunguza sana ushawishi wa kiuchumi wa Marekani ulimwenguni, hasa kutokana na ukweli kwamba nchi nyingi zinaweza kuacha kutumia Dola kama sarafu ya kibiashara.