Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Mimi sijasema uwe mentor ila tu thibitisha ulichokua unakiandika tangu mwanzo wa uzi

Karibu sana mkuu
Achana na huyo tapeli wako hapa kuchota watu.


Successful forex trader Hana muda wa kuja hapa kupost winning trades. Mara nyingi Hawa wanaopost ni mitego ya kuvuta watu Ili wakupige. Kama unabisha mfuate PM mwambie akufundishe utaona blablabla zake.


Forex is real ila Kuna traders wengi ni matapeli.



Watch out!
 
Achana na huyo tapeli wako hapa kuchota watu.


Successful forex trader Hana muda wa kuja hapa kupost winning trades. Mara nyingi Hawa wanaopost ni mitego ya kuvuta watu Ili wakupige. Kama unabisha mfuate PM mwambie akufundishe utaona blablabla zake.


Forex is real ila Kuna traders wengi ni matapeli.



Watch out!
Punguza ujuhaji basi ndugu,yoyote niliye jibu message yake pm inayohusisha forex ,ajitokeze .....nilishasema sifundi mtu.
Nina kipato na mm ni mfanya kazi na huo muda sina wa kufundisha
Sijahawi changia kwenye nyuzi yoyote ya forex hiv unazani sizioni,sijawahi discuss na mtu kuhusu forex.
Mm nimeonesha mtazamo wangu na kushare expirence na hustle zangu na kutoa angalizo sifundishi mtu,
Sasa kinachokukela na kukuwasha ni nini?
Nimekufata dm, mbona it's like something personal
 
En hyo time ya kufundisha mtu nikiitumia kwenye chat, 🤓🤓 dolari za kutosha, yan kila mtu na vile alivyo chagua mm forex ni back up na ni muudumu wa afya .
Kama unatatizo kuhusu afya uliza , sawa na niliweka bayana kazi yangu mapema
 
Wakuu mbona spread ni kubwa sana kwa huyu JustMarkets? Wenzangu mnaonaje hizi spreads
 
1694858555823.png
 
Ina maana broker ni kiunganishi Kati ya retails and market pool, kutokana na uchache au udogo wa mitaji ni ngumu kuwa na accent kwny market pools,labda wale big boys,institutions,company and countries na ukubwa wa mitaji yao wao ndo wanadrive soko.
Believe my words market pools inawatengenezea mazingira rahisi sana kuwa katika winning side.
So most of retails ndo wanaopoteza pesa
 
Wakuu mbona spread ni kubwa sana kwa huyu JustMarkets? Wenzangu mnaonaje hizi spreads
Trade broker anayekupa amani Mkuu.
Mimi namtumia huyu Mwamba Kwa mm naona ananifaa,tafuta ambaye unahisi anakufaa.
Kutokana na trading style yako,accessibility na namna ww ambavyo upo
 
Ina maana broker ni kiunganishi Kati ya retails and market pool, kutokana na uchache au udogo wa mitaji ni ngumu kuwa na accent kwny market pools,labda wale big boys,institutions,company and countries na ukubwa wa mitaji yao wao ndo wanadrive soko.
Believe my words market pools inawatengenezea mazingira rahisi sana kuwa katika winning side.
So most of retails ndo wanaopoteza pesa

NOP: retails hawatrade forex market, wana BET forex market, forex market ni complicated to explain to you, na pia forex market sio kwa ajili ya kujipatia faida ni brokers wanaaminisha watu uongo

soma apa itakusaidia kuelewa what goes behind

pia kama una chatgpt ina maelezo mazuri sana unaweza yatumia
1694891590785.png
 
Hicho ndo nilichowahi kukishindwa ,nimeanguka mara nyingi ila kusimama ni dk🤓🤓.
Angalia hizo ni gold ujue kuna dollar kuni naweka 0.11 nyingine 0.07
Mm ishu ya risk management nilishawahi ishindwaga .
Ukitrade na mm utakimbia wakati naweka order lakini am so smart and carefully one day nitapost hapa 1 mll dollar.
Afu cna hakika kama kuna mtz alishawahi fika 1M. Dollar
Ndomana nasema Tz waliofanikiwa ni chini ya 50.
Wengine maneno mengi,vitendo zero

forex market sio kwa ajili ya kujipatia utajiri, malengo yake ni tafauti na nyie mnachofanya
 
NOP: retails hawatrade forex market, wana BET forex market, forex market ni complicated to explain to you, na pia forex market sio kwa ajili ya kujipatia faida ni brokers wanaaminisha watu uongo

soma apa itakusaidia kuelewa what goes behind

pia kama una chatgpt ina maelezo mazuri sana unaweza yatumia

NOP: retails hawatrade forex market, wana BET forex market, forex market ni complicated to explain to you, na pia forex market sio kwa ajili ya kujipatia faida ni brokers wanaaminisha watu uongo

soma apa itakusaidia kuelewa what goes behind

pia kama una chatgpt ina maelezo mazuri sana unaweza yatumia
View attachment 2751560
Sipingi mtazamo wako,either your (begginer/ lack information/secondary information)
Unaelewa ninapokwambia market pool.
Market pool siyo kwa ajiri ya retails ,markets pool inawatambua Hedge funds,institutions,investors,stakeholders,banks, transfer agent(brokers) ets so retails wako under mwavuli........anyway go and find knowledge. How global market work and not foreign exhange
 
Sipingi mtazamo wako,either your (begginer/ lack information/secondary information)
Unaelewa ninapokwambia market pool.
Market pool siyo kwa ajiri ya retails ,markets pool inawatambua Hedge funds,institutions,investors,stakeholders,banks, transfer agent(brokers) ets so retails wako under mwavuli........anyway go and find knowledge. How global market work and not foreign exhange

kwahio mm, google na chatgpt hatuna akili wewe ndo mwenye akili? ulikurupuka sana kuingia forex market things dont go that way
 
Do what you see it's best for you.Mimi ni Kwa ajiri🥳🥳

some humans have fed you amaizing lies, na ulivo mvivu wa kusoma na wewe ukajaa, nenda tena kasome forex market ni nn and how it works and why its even there in the first place, na utafute watu wanaojielewa sio wanaouza signal na courses
 
Siyo Tickmill tu ni broker wengi tu ikifika usiku running cost inaongezeka kutokana na volume ya traders kupunguza ,so kuongeza spread ilu ku overcome running cost,halafu hilo swali lipo nje ya uwezo wake. Kumbuka ma broker nawenyewe wana access chat kwenye market pool ,na wanalipia siyo bure.....so siyo wao tu .
Achana na hizo blabla za welcome ndo u bigginer unaanzia hapo ,!
Hilo tu linaonesha wewe ni bigger ,nenda kajifunze forex siyo mtaji ,haina ufungamano kabisa mm dollar 5 naitrade gold vzr tu hata 3 dollar.
So ukiona mtu anakwambia lazima uwe na mtaji mkubwa shituka.
Kingine believe my words Tanzania successful trader 100 hawajafiak na hata 50 hawajifa. Na siyo wale wanaojitangaza wengi hawajitangazi ni kimya kimya.
Kama unabisha riganisha traders wa tz na south,
Anzia kwenye materials things kwanzia nyumba gari etc.na wa mbele .
Withdraw history na utayari wa ku act na kuamini mawazo yake
acha mdomo mwingi, ebu soma apa uache bla bla
1694929098935.png
 
Upuuzi ,hakuna kubet,nani kasema fx unabet??😅🤣 ......go to the field and learn 🤛🤛🤛,
Naweza itoa dollar kumi nikaipeleka mia on 3 min,
Nimefanya mara nyingi,
Na hakuna sehemu kutamu kama kwenye nyuzi,
Nyuzi zote nipo awere nazo ,nimekaa nikajifunza,kama unabisha leo kuna unemployment rate ya us nitakupa matokeo,stay tune
1694929489591.png


punguza ujuaji
 
Forex ni game ngumu sana kwa watu baadhi wenye kihoro cha hela just overnight mtu anataka awe millionaire. Binafsi nipo kwenye hii game for nearly 5yrs now ila na nilianza kwa kusoma vitabu na utube videos nyingi lakin naweza kukuambia hvyo vitabu na hizo videos vina uhalisia mdogo sana kwenye real game. Fx inahitaji ufanye research kubwa mno mno! Hasa kwenye price movement na kuna kitu nimegundua kwnye hiz currency pairs hazifanani kabsa when they need to initiate the movement . Matumizi ya robot sijui na mavitu mengne ni hatari sana na usijaribu kabsa utapoteza hela zako. Price movement zinakuwa affected sana na flow of economic data zinazokuwa released na taasisi husika na zingne zinakuwa na long impacts lkn zingne ni short lived. Manipulations ni mchezo mbaya sana unafanyika kweny hii game yaan wanatrap hawa small traders (retailers) kwa kutengeneza fake market patterns ambazo umezisoma kwenye pdfs na utubes . Pia kuna muda wa kutrade aina flan ya currency pairs sio zote utazitrade randomly. yan nina mengi sana ila ushauri wangu ni huu
1. Ukishasoma bla bla za utubes na pdfs wekeza muda mwingi sana kufanya utafiti wa price movement za kila pair kwa kila timeframe utakugundua mengi sana
2. Hakikisha unaweza kuitapret economic informations vzur kwa kujua impact yake na ni kwa muda gani
3. Usiweke graph au chart yako makorokoro mengi allow it to be clear
4.Punguza emotions hasa za kupoteza pale unapona graph inaenda uelekeo tofauti dont quit early, trust ur strategy
5.Fanya utafiti sana mwenyewe utakuja kufurahi siku moja
Conclusion : Forex iko hela ya kutosha tuliza kichwa fanya research.
ELEWA KWANZA APA
1694929864708.png
 
Back
Top Bottom