Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Sead Ramovic ni raia wa Ujerumani aliyezaliwa huko Stuttgart tarehe 14 ya Mwezi Machi mwaka 1979. Hivyo ana umri wa miaka 45. Pia, Kocha huyu ana uraia wa Bosnia.
Kocha huyu ana Leseni ya UEFA Pro na ana wastani wa miaka 3.13 katika kazi ya Ukocha. Pia anapendelea kutumia formation ya 4-2-3-1
Takriban wiki moja iliyopita Kocha huyu alifanya jambo la kushangaza alipotangaza kuachana na TS Galaxy ya Afrika Kusini moja kwa moja kwenye TV baada ya klabu hiyo kutoka sare ya 1-1 na Stellenbosch kwenye Uwanja wa Athlone.
TS Galaxy imeanza vibaya kampeni za 2024/25 - wakiwa wamekusanya alama mbili pekee kutoka kwa mechi sita za ligi. Pia walitupwa nje ya shindano linaloendelea la Carling.
Ramovic anayependa kuzungumza waziwazi alifichua kuwa kupoteza wachezaji kwenye timu nyingine kila dirisha la uhamisho kulisababisha ajiuzulu nafasi yake ya ukocha wa TS Galaxy.
Katika siku za hivi karibuni, wachezaji muhimu wa Galaxy kama Fiacre Ntwari, Pogiso Sanoka, Lehlohonolo Mojela, Given Msimango, Melusi Buthelezi, na Bathusi Aubaas wamechukuliwa na Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, miongoni mwa vilabu vingine vya PSL.
HISTORIA YA KOCHA RAMOVIC KATIKA KAZI YAKE
Enzi zake za kusakata kabumbu Ramovic alikuwa akicheza nafasi ya Golikipa na baada ya kustaafu Mei 2014, alianza kujihusisha na Ukocha. Hii ni historia yake ya Ukocha kwa mujibu wa Mtandao wa Trasfermarkt
Kocha huyu ana Leseni ya UEFA Pro na ana wastani wa miaka 3.13 katika kazi ya Ukocha. Pia anapendelea kutumia formation ya 4-2-3-1
Takriban wiki moja iliyopita Kocha huyu alifanya jambo la kushangaza alipotangaza kuachana na TS Galaxy ya Afrika Kusini moja kwa moja kwenye TV baada ya klabu hiyo kutoka sare ya 1-1 na Stellenbosch kwenye Uwanja wa Athlone.
TS Galaxy imeanza vibaya kampeni za 2024/25 - wakiwa wamekusanya alama mbili pekee kutoka kwa mechi sita za ligi. Pia walitupwa nje ya shindano linaloendelea la Carling.
Ramovic anayependa kuzungumza waziwazi alifichua kuwa kupoteza wachezaji kwenye timu nyingine kila dirisha la uhamisho kulisababisha ajiuzulu nafasi yake ya ukocha wa TS Galaxy.
Katika siku za hivi karibuni, wachezaji muhimu wa Galaxy kama Fiacre Ntwari, Pogiso Sanoka, Lehlohonolo Mojela, Given Msimango, Melusi Buthelezi, na Bathusi Aubaas wamechukuliwa na Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, miongoni mwa vilabu vingine vya PSL.
HISTORIA YA KOCHA RAMOVIC KATIKA KAZI YAKE
Enzi zake za kusakata kabumbu Ramovic alikuwa akicheza nafasi ya Golikipa na baada ya kustaafu Mei 2014, alianza kujihusisha na Ukocha. Hii ni historia yake ya Ukocha kwa mujibu wa Mtandao wa Trasfermarkt