Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema ila watu wakasema sijui kituUpuuzi mtupu akija na mifumo yake mipya then akisema wachezaji alio nao hawafai kwenye mifumo yake sijui itakuwaje. Mpira wa kibongo wa kipuuzi,mihemko na hisia ndio zinaongoza mpira.
Hapa kweli tumejikanyagaUnamfukuza kocha aliyepoteza mechi 2 unaajiri kocha aliyeambulia pointi 2 kwenye mechi 6!
Nimeamini.Wenye Akili Ni Watu Watatu Pale
UTO hatutaki kiburi. Kocha ukipandisha mabega kwa mwajiri wako tunakula kichwa tuNimesema ila watu wakasema sijui kitu
Injinia anafanya kazi kwa mihemko ssna ameanza kupata kichwa
Sasa huyu kocha ataanza upya na Al hilal wanatusubiri sio muda mrefu yaani inatia mashaka sana
Uyo ni defensive coach kocha la kujilinda hapo uto kazi ipo 😂😂Upuuzi mtupu akija na mifumo yake mipya then akisema wachezaji alio nao hawafai kwenye mifumo yake sijui itakuwaje. Mpira wa kibongo wa kipuuzi,mihemko na hisia ndio zinaongoza mpira.
Sasaiv yeye ndo wa kwanza toka mwisho anakimbizaUmesahau ana tokea south timu yake ikiwa nafasi ya 2 kutoka mwisho
Nilivyoona wamemchukua kocha wa KMC tu nikajua kuna jamboInamaana michakato ya kumpata kocha mpya ilianza kabla Gamondi hajatimuliwa!
Kwani anaenda pasaka?RAMOVIC hafiki pasaka.
Sasa miaka mitatu utapata data gani mzee?leta data zake
Upuuzi mtupu akija na mifumo yake mipya then akisema wachezaji alio nao hawafai kwenye mifumo yake sijui itakuwaje. Mpira wa kibongo wa kipuuzi,mihemko na hisia ndio zinaongoza mpira.
mbona ana cv ya memkwa,vyura watapigwa sana awamu hiiKlabu ya @yangasc imemtambulisha Sead Ramovic raia wa Ujerumani kuwa kocha mkuu akichukua nafasi ya Miguel Gamondi, ambaye wamevunja naye mkataba.
Ramovic anajiunga na 'wananchi' akitokea TX Galaxy inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika Kusini, kabla ya Galaxy aliwahi kuwa kocha msaidizi wa Novi Pazar iliyopo ligi kuu nchini Serbia.
Mhariri: @abuuyusuftz
#yangasc #wananchi #seadramovicView attachment 3153074
Who said?Upuuzi mtupu akija na mifumo yake mipya then akisema wachezaji alio nao hawafai kwenye mifumo yake sijui itakuwaje. Mpira wa kibongo wa kipuuzi,mihemko na hisia ndio zinaongoza mpira.
Sasa hivi mtaungana na MagomaNimesema ila watu wakasema sijui kitu
Injinia anafanya kazi kwa mihemko ssna ameanza kupata kichwa
Sasa huyu kocha ataanza upya na Al hilal wanatusubiri sio muda mrefu yaani inatia mashaka sana