Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Kwa mtiririko wa mechi za ligi kiuhalisia Gamond Alikuwa a nashuka siyo kupanda.

Kibaya zaidi alishindwa kubadili mbinu. Ni uamuzi mzuri kubadilisha kocha Kabla mambo hayajaharibika sana.

Wananchi wajifunze kuwaamini viongozi wao na muda ndiyo utaamua kama walichofanya ni sahihi au hapana.
Ila kwa opinion za SA
Wanatuambia tumelamba dume mana Ts galaxy imeuza wachezaji tegemeo kaizer na orlando kwahiyo jamaa hio kitu imemkata sana na kumshusha na alisha resign tangu last week
 
Kwa mtiririko wa mechi za ligi kiuhalisia Gamond Alikuwa a nashuka siyo kupanda.

Kibaya zaidi alishindwa kubadili mbinu. Ni uamuzi mzuri kubadilisha kocha Kabla mambo hayajaharibika sana.

Wananchi wajifunze kuwaamini viongozi wao na muda ndiyo utaamua kama walichofanya ni sahihi au hapana.
Mkuu tusibishane sana acha tutajua nani mkweli

Pep kule City mechi mfululizo 4 kapoteza ila vipi hakubadili mbinu? Uwezo umeshuka? Mbona management haijamfukuza?

Ramovic takwimu zake si afadhali hata Gamondi?

Halafu sajili msimu huu injinia kabugi sana basi tu

Nani alimtaka chama na baleke? At least Dube nitakuelewa

Na baleke mwenyewe kocha alikuwa hamtaki hata kumtumia
Nadhani kilikuwa kipindi cha kuyumba mechi kadhaa then tungerudi kwenye mfumo tena.

Uongozi ujitafakari jezi tu mpya za CAF humo wamevujisha why?
 
1731040513589.jpg
 
Mimi ni Moja ya watu ambao sikuwa namkubali sana Gamondi, kutikana na kukosa mbinu nyumbulifu, msimu huu wapinzani walishsmsoma...ila yeye hakutaka kubadilika.
 
Tatizo sio kocha ,..tatizo ni wachezaji wenyewe
 
Mkuu tusibishane sana acha tutajua nani mkweli

Pep kule City mechi mfululizo 4 kapoteza ila vipi hakubadili mbinu? Uwezo umeshuka? Mbona management haijamfukuza?

Ramovic takwimu zake si afadhali hata Gamondi?

Halafu sajili msimu huu injinia kabugi sana basi tu

Nani alimtaka chama na baleke? At least Dube nitakuelewa

Na baleke mwenyewe kocha alikuwa hamtaki hata kumtumia
Nadhani kilikuwa kipindi cha kuyumba mechi kadhaa then tungerudi kwenye mfumo tena.

Uongozi ujitafakari jezi tu mpya za CAF humo wamevujisha why?
Mmeshaanza kukataana wana Galacticos
 
7 - stop
7 - stop
7 - stop
7 - stop
8 - kwangu
8 - kwangu
J - Naomba Mavi
Last card
3 - Nimemaliza.
 
Role ya kocha wetu mpya akiwa mchezaji alikuwa ni golikipa.

Management imekaa chini ikafikiria ikaona mmmh hapana sio kweli.....yale mashuti ya Chikola na Silah kwa umbali ule hayakuwa ya bahati mbaya.

Halafu kwanini yote yamepigwa kwenye angle moja ya upande wa kushoto wa Kipa?
Diarra hafuati mipira ya chini huo ndio udhaifu wake na wameshamjulia tena ukipiga kushoto ndio hafuati kabisa anaiangalia tu
 
Back
Top Bottom