princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Ila kwa opinion za SAKwa mtiririko wa mechi za ligi kiuhalisia Gamond Alikuwa a nashuka siyo kupanda.
Kibaya zaidi alishindwa kubadili mbinu. Ni uamuzi mzuri kubadilisha kocha Kabla mambo hayajaharibika sana.
Wananchi wajifunze kuwaamini viongozi wao na muda ndiyo utaamua kama walichofanya ni sahihi au hapana.
Mkuu tusibishane sana acha tutajua nani mkweliKwa mtiririko wa mechi za ligi kiuhalisia Gamond Alikuwa a nashuka siyo kupanda.
Kibaya zaidi alishindwa kubadili mbinu. Ni uamuzi mzuri kubadilisha kocha Kabla mambo hayajaharibika sana.
Wananchi wajifunze kuwaamini viongozi wao na muda ndiyo utaamua kama walichofanya ni sahihi au hapana.
Ila ndiyo vile tena kwa sasa wanajiona wamejipata mpaka pale yanga watakawashenyeta ndipo watafukuza fadluYangekuwa maamuzi Simba wangemchukua
Mpaka pale tutakapowafumua tena ndiyo mtashtukaSasa hivi mtaungana na Magoma
Nawaona mnavyokuja taratibu
Fadlu yupo na ataendelea kuwepo mpaka chozi lenu la mwisho tulioneIla ndiyo vile tena kwa sasa wanajiona wamejipata mpaka pale yanga watakawashenyeta ndipo watafukuza fadlu
Kwa usaidizi wa kayoko tena au ball likitembea lenyeww?Mpaka pale tutakapowafumua tena ndiyo mtashtuka
Sisi furaha yetu ni kuwashenyeta nyie tuFadlu yupo na ataendelea kuwepo mpaka chozi lenu la mwisho tulione
Kwamba na yeye akifungwa mechi mbili mfululizo, welcome itamuhusuCoaches are hired to be fired
Ikumbukwe tu kwenye hao wawili waliobahatika kuwa na akili Hersi sio miongoni mwao.Wenye Akili Ni Watu Watatu Pale
Chikola atakuwepo siku hiyoSisi furaha yetu ni kuwashenyeta nyie tu
Mmeshaanza kukataana wana GalacticosMkuu tusibishane sana acha tutajua nani mkweli
Pep kule City mechi mfululizo 4 kapoteza ila vipi hakubadili mbinu? Uwezo umeshuka? Mbona management haijamfukuza?
Ramovic takwimu zake si afadhali hata Gamondi?
Halafu sajili msimu huu injinia kabugi sana basi tu
Nani alimtaka chama na baleke? At least Dube nitakuelewa
Na baleke mwenyewe kocha alikuwa hamtaki hata kumtumia
Nadhani kilikuwa kipindi cha kuyumba mechi kadhaa then tungerudi kwenye mfumo tena.
Uongozi ujitafakari jezi tu mpya za CAF humo wamevujisha why?
Diarra hafuati mipira ya chini huo ndio udhaifu wake na wameshamjulia tena ukipiga kushoto ndio hafuati kabisa anaiangalia tuRole ya kocha wetu mpya akiwa mchezaji alikuwa ni golikipa.
Management imekaa chini ikafikiria ikaona mmmh hapana sio kweli.....yale mashuti ya Chikola na Silah kwa umbali ule hayakuwa ya bahati mbaya.
Halafu kwanini yote yamepigwa kwenye angle moja ya upande wa kushoto wa Kipa?
Hata ukipiga shuti katikati ya uwanja hadakiDiarra hafuati mipira ya chini huo ndio udhaifu wake na wameshamjulia tena ukipiga kushoto ndio hafuati kabisa anaiangalia tu
Mpigie juu anadaka na kuikumbatia kwa mbwembwe na kulala analalaHata ukipiga shuti katikati ya uwanja hadaki