Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Ramovic anayependa kuzungumza waziwazi alifichua kuwa kupoteza wachezaji kwenye timu nyingine kila dirisha la uhamisho kulisababisha ajiuzulu nafasi yake ya ukocha wa TS Galaxy.😀
Huku sijui atasingizia majeruhi au hali ya hewa?
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
 
Huwezi kurudi kwenye mfumo na kocha aliyeruhusu wachezaji wale starehe.

Mwenendo wa Gamondi ulikuwa unaenda kuizamisha timu. Angalia sub kwenye mchezo wa Tabora United zilikuwa hazilingani na mahitaji ya siku ile. Kuhusu wachezaji sidhani kama hilo ni tatizo, angalia ball possession ya mechi zote mbili tulizopoteza. Shida ilikuwa kwenye game plan ya mechi ili ushinde basi.

Wacha tuone huyu aliyekuja Kaja na nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…