Rasmi serikali yaruhusu na kuzindua matumizi ya magari ya umeme Tanzania

Kuna sehemu ngapi za kuchajia haya magari?

Maandalizi stahiki yamefanyika kweli?

By the way, hivi kabla ilikuwa marufuku kutumika Tanzania?
Jamani hii Ndiyo fursa changamoto ni sehemu ya mfanyabiashara ama mtumiaji kwani huwezi kununua betri ya ziada ama charger? Mnapendaz sana kulalamika? Wataalamu wa kulalamika kwenye hili siwaungi mkono
 
Kwanza waweke vituo vya kuchaji magari na sio siasa
Yapo magari rahisi bei ya kutupa kama Dacia, Citroën, Mazda na hata MG ambapo unaweza pata nje kwa 90m unaongeza na ushuru na usajili

Ila zingine mziki wake ni mnene na brand new Toyota kama Rav4 ila umeme ni 150m ongeza ushuru
Hapo labda chuo kikuu watoto watengeneze za kwetu au injinia Kipanya
 

Attachments

  • Screenshot_20240531_065324_Auto Trader~2.png
    884.9 KB · Views: 3
Amezindua kiwanda cha utengenezaji wa magari au kutumika kwa hayo magari?
 
Level zetu tutumue zile zenye mifumo miwili fuel+electric.
 
Kwani magari ya umeme yalikuwa hayaruhusiwi hapa Tz mpaka yaruhusiwe sasa?

Mbona tangu kitambo sana (japokuwa ni kwa uchache sana) yalikuwepo hapa Tz?

Nini mantiki ya bajeti ya serikali ta mwaka jana kutangaza kupunguza ushuru wa uiagizaji wake ikiwa yalikuwa hayajaruhusiwa kuingizwa nchini?

Nini mantiki kwa serikali kutokuyaruhusu kwa kipindi chote hapo kabla mpaka sasa ndio taruhusiwe?
 
Kupata vichekesho kama hv huna haja ya kumtafuta mchekeshaji, wasikilize mawaziri na viongozi wengine wa serikali
 
Asante kwa taarifa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…