Rasmi: Simba SC yamtambulisha Mshambuliaji hatari raia wa Serbia

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€“πŸ€“ acha kwanza nichekeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tunamkaribisha kwenye soka la Tanzania🀣🀣🀣
 
Vitu anavyo, atatumika zaidi kimataifa ila huko Namfua awaachie kina Kiyombo
 
 
Mkuu upo nje ya mda
 
Baada ya miezi kadhaa utasikia Makolo wamefikia makubaliano ya kila upande kisha huyu mchezaji anaagwa na kutakiwa kila lakheri aendapo
 
Baada ya miezi kadhaa utasikia Makolo wamefikia makubaliano ya kila upande kisha huyu mchezaji anaagwa na kutakiwa kila lakheri aendapo
Kwani Ntibanzokiza ilikuwaje..!? Hamkufikia makubaliano maalumu..!
 
Kocha kamleta mtotk wa dada yake aliyekuwa jobless uko Serbia alafu anasema mchezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…