Rasmi: Simba wamtangaza Mreno Zoran Manojlovic kuwa kocha wao mkuu

Rasmi: Simba wamtangaza Mreno Zoran Manojlovic kuwa kocha wao mkuu

Kwa mpira wa Africa, kikubwa ni kuwepo kwa team nzuri ya scouting basi, kocha atawakuta wachezaji na atawaacha.
Labda tungeanzia hapa kwanza, scouting team kwa hizo timu mbili ni zipi, kina nani?

Kama unafuatuatilia kidogo, C.Ronaldo alifikaje Man Utd? Ukijua hili, kuna wakati hata wewe utakuwa mkatwa kichwa na mjuaji bilabila.
 
B106F19C-82F8-4466-928F-5F07601AACF4.jpeg
 
Hawa waliochukua ubingwa msimu huu hapo Yanga, Nabi aliwakuta? Unajua kuna vitu vingine maongea tu kama mmekatwa vichwa[emoji23]...
Mashabiki wengi wa nchi hii akili zao wanazijua wenyewe,ulaya na Africa kuna utofauti mkubwa sana.Makocha wengi kule wanafatilia ligi za huko wanawajua wachezaji wengi,kuna scouting za wachezaji na ni rahisi kulingana na mifumo waliyojiwekea.

Leo hii ni rahisi Mourinho,guadiora au ancelloti wakipewa timu na pesa za usajili ni rahisi kwao.Ila huku Africa makocha wengi ni mawakala wa wachezaji hivyo ukiwapa power kubwa ya kusajili utaingia cha kike bado mpira wa kiafrika hatujafika levo hizo.

Mfano mwinyi zahera aliwahi kuleta wachezaji wake wakina kindoki pale,ni vile kwasababu timu haikua na pesa na mwinyi zahera alisaidia hata pesa zake mfukoni mambo yaende nani angemuhoji kuhusu wachezaji wake wengi waliokua wa kawaida?.Ni mara chache kwa Africa kocha kuwa na power ya kusajili
 
Aje atuletee ukuda, achezeshe mpira wa kuruka ruka. Tunataka matokeo na burudani (pira Birian) kama ilivyo desturi yetu (Lunyasi)
 
Wewe ni mpuuzi na unatakiwa upuuzwe,Ni kocha gani hapo simba ndani ya miaka minne alishasajili?
Nani anasajili wachezaji?

Kama mchezo utakuwa ni huo huo, unganisha wachezaji uliowakuta/waliosajiliwa, hakuna maajabu ya kutegemewa kwa kocha awaye yeyote.

Wenzao kwasasa wanatembelea UTAWALA WA NCHI, mpira hakuna ila fedha ya kununua matokeo na ubavu wa kulazimisha mambo yawe watakavyo. Ngoja tuone kama hii mbinu itatusaidia na huko mataifani.
 
Binafsi makocha wazawa waache uswahili leo nchi kama Burund na Rwanda kwel wa kutupatia makocha ??? sitaki kabisa kuamini Makocha wazawa wajitafakari na sijui shida ipo wap shule au nini hasa ??
Shida sio ahule wala nini kama umma unavyoaminishwa. Ukweli ni kwamba hao warundi ni mambo ya ten percent tuu hamna chingine.

Makocha wakibongo wana uswahili kwa sababu gani? Labda tuanze hapo.
 
Mashabiki wengi wa nchi hii akili zao wanazijua wenyewe,ulaya na Africa kuna utofauti mkubwa sana.Makocha wengi kule wanafatilia ligi za huko wanawajua wachezaji wengi,kuna scouting za wachezaji na ni rahisi kulingana na mifumo waliyojiwekea.

Leo hii ni rahisi Mourinho,guadiora au ancelloti wakipewa timu na pesa za usajili ni rahisi kwao.Ila huku Africa makocha wengi ni mawakala wa wachezaji hivyo ukiwapa power kubwa ya kusajili utaingia cha kike bado mpira wa kiafrika hatujafika levo hizo.

Mfano mwinyi zahera aliwahi kuleta wachezaji wake wakina kindoki pale,ni vile kwasababu timu haikua na pesa na mwinyi zahera alisaidia hata pesa zake mfukoni mambo yaende nani angemuhoji kuhusu wachezaji wake wengi waliokua wa kawaida?.Ni mara chache kwa Africa kocha kuwa na power ya kusajili
Ebu waulize , baada ya mwinyi zahera kupewa mamlaka ya kusajili Yanga aliwasajili akina nani kama siyo akina Kindoki , moringa na wengineo wa dizaini hiyo.

Mashabiki wa uto wamelewa na ubingwa wa mwaka huu ko kila mmoja anajiona anaweza Sana kuchambua mpira kumbe ni hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom