Rasmi: Simba wamtangaza Mreno Zoran Manojlovic kuwa kocha wao mkuu

Rasmi: Simba wamtangaza Mreno Zoran Manojlovic kuwa kocha wao mkuu

Haijalishi
We jitoe ufahamu tu, huwezi kuwa sawa kiakili afu ukamlinganisha NABI na huyo kocha mpya wa Simba.

Kocha hana mafanikio yoyote afu mnajikuta mnajizima data, Simba ilipaswa kusaka makocha wa maana, na kwa utaratibu unaotumika duniani, sio kocha ndio aombe kazi yaan ulisikia wapi Makocha wanaBID?? Yaan Yule wa gharama nafuu ndio mshindi how??

Simba lazima wawe serious na timu yao, kuanzia benchi la ufundi Quality players nk. Usajili wa Simba lazima uzingatie maeneo muhimu sio timu inasajili ili mradi kufurahisha genge.

Simba wanapaswa kufanya replacement kama 6 hivi na sio zaido ya hapo.
1. Beki mmoja wa Kati.
2. Beki wa Kulia
3. Kiungo wa Pembeni hasa Kushoto
4. Foward mmoja hatari wa kati.
5. Kiungo na 8 mwenye stamina zaidi.
6. Namba 10 hapa nimeona MOSES PHIRI anaweza kucheza.

Wenzenu Yanga wamefanya sana TRIAL and ERROR kwa muda mrefu mpaka wamepata kikosi ambacho sasa kazi yao ni kuchomeka nafasi chache zenye mapungufu kama beki ya kushoto, kiungo wa pembeni na Mshambuliaji mmoja wa kati akisaidiana na Mayele na kidogo Beki wa kati ambaye anaweza kumchallange JOB.
 
Nani anasajili wachezaji?
Kama mchezo utakuwa ni huo huo, unganisha wachezaji uliowakuta/waliosajiliwa, hakuna maajabu ya kutegemewa kwa kocha awaye yeyote.
acheni maisha ya kukariri, kocha mzuri akikuta wachezaji wazuri hata katikati ya msimu, timu itakiwasha tu. Kocha atoke Ulaya atawaona wapi wachezaji wa kitanzania ambao kikanuni wanatakiwa kuwazaidi ya 60% ya kikosi? Nabi alipokuja aliwaona wapi akina Nchimbi hadi apendekeze waachwe?
 
Hawa waliochukua ubingwa msimu huu hapo Yanga, Nabi aliwakuta? Unajua kuna vitu vingine maongea tu kama mmekatwa vichwa[emoji23].

Mazingira ya yetu Africa ni magumu sana kufanyika huo utaratibu mnaoutaka, kocha atoke BELGIUM, SPAIN AU taifa lingine la nje kisha aje kupendekeza wachezaji wa africa ambao watafit mfumo wake ilhali hawajui hao wachezaji? Au unahisi hata huko ulaya wanafatilia soka letu la kijinga??

Let's Simba Sc ingeajiri kwanza kocha ili aje afanya mapendekeze yeye .wenyewe, angewezaje kuwapata ndani ya muda mfupi na ikiwa ligi nyingi za Africa zimeisha (angefanyaje acessment ya hao wachezaji)? ACHENI UJUAJI.

Kwa mpira wa Africa, kikubwa ni kuwepo kwa team nzuri ya scouting basi, kocha atawakuta wachezaji na atawaacha.
Ikiwa Yanga walifanya kosa la kuwa na kocha ambaye hakuwa sehemu ya usajili haiwezi kuhalalisha kwa simba kufanya hivyo, duniani kote hasa soka liliko endelea na ndiko tonakotaka kwenda, kocha ni sehemu ya scouting.

Kwamba simba hawakuwa na muda wa kumpata kocha hilo ni tatizo kama hukuwa umejipanga mapema haikuwa na sababu ya kumtimua kocha Pablo.

Timu zetu zinapoboronga tuseme ukweli
 
Yote yanayoongelewa humu, yoooote ni mbwembwe.
Tusubiri msimu uanze ndo tutajua!!!

Na ikitokea akawa kocha mzuri kuna watu watanikoma humu.
 
Ikiwa Yanga walifanya kosa la kuwa na kocha ambaye hakuwa sehemu ya usajili haiwezi kuhalalisha kwa simba kufanya hivyo, duniani kote hasa soka liliko endelea na ndiko tonakotaka kwenda, kocha ni sehemu ya scouting...
Ukitaka kutumia taratibu za usajili za ulaya kwa huku Africa ni lazima utafeli tu. Kwa huku africa kocha kusajili imekuwa ni kosa kubwa mara nyingi tu.
 
We jitoe ufahamu tu, huwezi kuwa sawa kiakili afu ukamlinganisha NABI na huyo kocha mpya wa Simba...
Ni kigezo kipo kilichokufanya useme kuwa mtu mwenye akili hawezi kumfananisha Nabi ma huyo kocha mpya wa Simba Sc, ni huu ubingwa aliochukua sasa hivi, CV yake alikowahi kupita au mafanikio yake kabla hajaja Yanga??

Njoo na facts na sio hisia.
 
Wameanza tena...
IMG-20220629-WA0038.jpg
 
acheni maisha ya kukariri, kocha mzuri akikuta wachezaji wazuri hata katikati ya msimu, timu itakiwasha tu. Kocha atoke Ulaya atawaona wapi wachezaji wa kitanzania ambao kikanuni wanatakiwa kuwazaidi ya 60% ya kikosi? Nabi alipokuja aliwaona wapi akina Nchimbi hadi apendekeze waachwe?
Sawa
 
Mbaya zaidi unakuta tatizo la simba sio kocha...

Timu inahangaika kutibu ugonjwa ambao haupo...
 
Kwa hiyo huyu kocha kadumu miezi 2 tuu?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom