Rasmi: Tundu Lissu kuingia ofisini Makao Makuu Mikocheni 29/01/2025

Rasmi: Tundu Lissu kuingia ofisini Makao Makuu Mikocheni 29/01/2025

CHADEMA wenyewe kwa wenyewe mnataka kutoana macho na roho, mnagombaniana madaraka kama vita, yaani Tundu Lissu ana walinzi kama yuko Sudan au Somalia, kisa mnashindwa kuaminiana.. Hivi tunajiuliza CHADEMA mkipewa nchi si mtauza kila kitu, tamaa yenu ni mbaya sana, ulafi wa ajabu, huko kanda ya Nyasa tuliona uchaguzi wa aibu kabisa. CHADEMA mmeprove failure kabisa.
Hakuna chama hapo Mkuu, sasa rasmi chadema imegeuka kikundi cha waropokaji.
 
Hana baya.. ngoja tusubiri atasema nini
Aende na pesa

Ofisi ya makao makuu Chadema sio kioo cha kuuza sura kama ubeligiji

Mbowe alikuwa akiingia ofisini haendi kuuza sura au kuchonga mdomo tu anaenda na pesa

Aliacha noti za kuchangia chama kwa ajili ya uendeshaji na malipo ya Wafanyakazi

Wafanyakazi pale hawahitaji hotuba wanataka kulipwa mishahara yao nk
 
Aende na pesa

Ofisi ya makao makuu Chadema sio kioo cha kuuza sura kama ubeligiji

Mbowe alikuwa akiingia ofisini haendi kuuza sura au kuchonga mdomo tu anaenda na pesa

Aliacha noti za kuchangia chama kwa ajili ya uendeshaji na malipo ya Wafanyakazi

Wafanyakazi pale hawahitaji hotuba wanataka kulipwa mishahara yao nk
Chama ni taasisi inatakiwa kujiendesha sio kumuangukia mtu, TAL anakwenda kufanya kazi
 
Chama ni taasisi inatakiwa kujiendesha sio kumuangukia mtu, TAL anakwenda kufanya kazi
Kufanya kazi ya kuhutubia na kuuza sura bila hela mkononi kusema yeye kama yeye kama mwanachama na kiongozi anachangia shilingi ngapi

Pesa nyingi ya kihadhi ya Mwenyekiti kama Mbowe alivyokuwa akichangia mamilioni live

Lisu mwambieni kesho hatuhitaji hotuba aseme tu anachangia Chadema shilingi ngapi?
 
CHADEMA wenyewe kwa wenyewe mnataka kutoana macho na roho, mnagombaniana madaraka kama vita, yaani Tundu Lissu ana walinzi kama yuko Sudan au Somalia, kisa mnashindwa kuaminiana.. Hivi tunajiuliza CHADEMA mkipewa nchi si mtauza kila kitu, tamaa yenu ni mbaya sana, ulafi wa ajabu, huko kanda ya Nyasa tuliona uchaguzi wa aibu kabisa. CHADEMA mmeprove failure kabisa.

..ulinzi wa Mama Abduli umeuona?

..zoezi la kumpitisha Mama Abduli kuwa mgombea limefuata taratibu?
 
Hakuna chama hapo Mkuu, sasa rasmi chadema imegeuka kikundi cha waropokaji.
Kwani kwa kadiri ya ujinga wako neno "kuropoka" kwako lina maana gani...?

Kwa kadiri ya ujinga wako huohuo, unaweza kutoa mifano miwili tu ya miropoko toka CHADEMA..?

Je, kwako wewe na kwa kadiri ya ujinga wako huohuo, hii kauli mbiu ya CHADEMA ya "NO REFORMS, NO ELECTION" kumbe obvious kwako ni mropoko tu, au siyo..?

Kama ndivyo hivyo, tukupe jina gani sasa wewe? Mjinga? Mbumbumbu? Mpumbavu? Chura Kiziwi? Au Bi Tozo?

Chagua moja linalofaa hapo...
 
Kufanya kazi ya kuhutubia na kuuza sura bila hela mkononi kusema yeye kama yeye kama mwanachama na kiongozi anachangia shilingi ngapi

Pesa nyingi ya kihadhi ya Mwenyekiti kama Mbowe alivyokuwa akichangia mamilioni live

Lisu mwambieni kesho hatuhitaji hotuba aseme tu anachangia Chadema shilingi ngapi?
Ndio kwanza kesho anakabidhiwa ofisi ulitaka afanya kitu gani wakati ofisi bado hajakabidhiwa? unaandika vitu havina hata maana kwasababu Lissu ana anza kazi kesho
 
Back
Top Bottom