Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Tofautisha ugomvi na deni.Never Kwani deni limekufa naye?
Huo upumbavu wako ni wa mamako au babako? Deni liko pale pale, msimamizi wa mirathi atafuatilia na lazima Musiba alipe.Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyamaliza kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli ulimalizwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umemalizwa na Mungu π .
Mungu fundi nyie!
Kufa na wewe ukazikwe naeMsimhusishe Mungu kwenye upumbavu wenu
Aulizwe mwendazake BM.huo upumbavu wako ni wa mamako au babako? Deni liko pale pale, msimamizi wa mirathi atafuatilia na lazima Musiba alipe.
Kwa hiyo Ina Lillah
Haya ugonvi wao ni niniTofautisha ugomvi na deni.
Itabidi alipe tu maana mahakama ilishaamua. Labda Kama familia yake itaamua kumsameheBilioni 9 nyingi aise
Unao uhakika mbinguni kuna nafasi?!Apumzike kwa amani mbinguni, Amina. π
...kwa furaha, ama?!Kuna watu hawatalala
its an unethical.tumieni ndimi zetu kwa umakini.hamjui leo au kesho yenu.Kufa na wewe ukazikwe nae