Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.
Mungu fundi nyie!
Cc Makambako…Wazuri hawafi.
Kwamba Musiba amechomoka ndio halipi tena hizo pesa za kumchafua?Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu [emoji28].
Mungu fundi nyie!
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.
Mungu fundi nyie!
AiseeeApumzike kwa amani mbinguni, Amina. 🙏
Mleta uzi ana uelewa mdogo tumvumilieni. Hajajua kama sahivi ndio pabaya sana maana tutasema Marehemu angekuwepo angehitaji fidia yake.Hii ni hatari sana kwa mdaiwa, maana matumaini yalikuwepo marehemu angesamehe, sasa hayupo maana amri ya mahakama iko pale.
Isije kuwa aliye daiwa kalazimisha uamuzi🤔Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.
Mungu fundi nyie!
Ila watu 🙌🙌Anamshukuru Mch. Mashimo View attachment 2618832
Anavyoamini cyprian musibaKwa hiyo Mashimo ndiye kaua mtu?
Hizo bilioni 9 wapewe familia ya Membe.Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.
Mungu fundi nyie!
Ugonvi wa jpm na membe uliamuliwa na Mungu, huyu huyu Mungu kamuita membe aamuwe ugonvi wao live kila mtu akiwa mbele yake dah membe kauli yako iliniumiza as if una bima ya maisha
Muache afuatilie na yeye aondokehuo upumbavu wako ni wa mamako au babako? Deni liko pale pale, msimamizi wa mirathi atafuatilia na lazima Musiba alipe.
Hili ni pigo kwa Musiba maana sasa warithi watakazia hukumuHakika Mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamuliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamuliwa na Mungu [emoji28].
Mungu fundi nyie!