Rasmi ugomvi wa Membe na Musiba umeamuliwa na Mungu, Mungu fundi

Rasmi ugomvi wa Membe na Musiba umeamuliwa na Mungu, Mungu fundi

Ukute musiba Yuko zake Ukara amejichimbia kwa bibi yake anasema "hatujamaliza, hatujamalizaa......" Anaandaa kombora jingine.
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.

Mungu fundi nyie!
😂 😂 😂
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu [emoji28].

Mungu fundi nyie!
Kwamba Musiba amechomoka ndio halipi tena hizo pesa za kumchafua?
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.

Mungu fundi nyie!
 

Attachments

  • 08FB8B2A-7E9E-400D-BF7F-DFB4A1622EC5.jpeg
    08FB8B2A-7E9E-400D-BF7F-DFB4A1622EC5.jpeg
    65.3 KB · Views: 1
Hii ni hatari sana kwa mdaiwa, maana matumaini yalikuwepo marehemu angesamehe, sasa hayupo maana amri ya mahakama iko pale.
Mleta uzi ana uelewa mdogo tumvumilieni. Hajajua kama sahivi ndio pabaya sana maana tutasema Marehemu angekuwepo angehitaji fidia yake.

Na sharti haki ya Marehemu iwe kama vile yeye mwenyewe angependa. Na wote tunaujua uliokuwa msimamo wa Bernard, pagumu hapo.
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.

Mungu fundi nyie!
Isije kuwa aliye daiwa kalazimisha uamuzi🤔
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.

Mungu fundi nyie!
Hizo bilioni 9 wapewe familia ya Membe.
 
Ugonvi wa jpm na membe uliamuliwa na Mungu, huyu huyu Mungu kamuita membe aamuwe ugonvi wao live kila mtu akiwa mbele yake dah membe kauli yako iliniumiza as if una bima ya maisha

Msamehe tu huko aliko.

Binadamu tuna tabia ya kujisahau tukiwa wazima na akaunti za benki zikiwa na afya.

Imagine siku mzee wa "Wema Hawafi" atakapokata moto. Watu si watashangilia kabisa?

Tuchunge ndizi zetu na kusameheana!
 
Hakika Mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamuliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamuliwa na Mungu [emoji28].

Mungu fundi nyie!
Hili ni pigo kwa Musiba maana sasa warithi watakazia hukumu
 
Back
Top Bottom