Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Unao uhakika mbinguni kuna nafasi?!
Anyways, sisi tunamwombea msamaha wa dhambi zake, apumzike kwa amani mbinguni. Amina.
- Mungu fundi
- Mungu ameamua ugomvi
- Wema hawafi
- Wanaompenda wakazikwe naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unao uhakika mbinguni kuna nafasi?!
Anyways, sisi tunamwombea msamaha wa dhambi zake, apumzike kwa amani mbinguni. Amina.
- Mungu fundi
- Mungu ameamua ugomvi
- Wema hawafi
- Wanaompenda wakazikwe naye
Hao ndio walisema mungu wao kawaamlia ugomvi kwenye kifo cha jpmits an unethical.tumieni ndimi zetu kwa umakini.hamjui leo au kesho yenu.
Nani kasema?Wazuri hawafi.
Watu walinzani wako na amani mara ghafla amani inatoweka, wanajiona wako uchi wanyama...kwa furaha, ama?!
MakambaNani kasema?
Kama lile ZimwiKufa na wewe ukazikwe nae
Anamshukuru Mch. Mashimo View attachment 2618832
Alisema hivyo zamani, ila leo kafunga domo lake mgosiMakamba
By Senior MakambaWazuri hawafi.
Tofautisha ugomvi na deni. Deni lipo palepaleHakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu [emoji28].
Mungu fundi nyie!
Ha ha haaaaHakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.
Mungu fundi nyie!
Kwanza mimi naamini ugomvi huu umeingiliwa mkono wa serikali na kuamuliwa Membe aende zake.Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyamaliza kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli ulimalizwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umemalizwa na Mungu 😅.
Mungu fundi nyie!
Deni kwani Membe alimkopesha Msiba?Tofautisha ugomvi na deni.
Msiba akilipa hlo deni la kihuni nipo pale nimekaa , hakuna mtu wa kufanya huo ujingaItabidi alipe tu maana mahakama ilishaamua. Labda Kama familia yake itaamua kumsamehe