Rasmi ugomvi wa Membe na Musiba umeamuliwa na Mungu, Mungu fundi

Rasmi ugomvi wa Membe na Musiba umeamuliwa na Mungu, Mungu fundi

Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu [emoji28].

Mungu fundi nyie!

Unajua tofauti ya ugomvi na deni? Lile ni deni na had amekufa hajasema amesaheme deni hivyo bado famili watalipwa tu labda wao ndo wasamehe,lkn pia msamaha wa madeni hauwez kuamuliwa na Mungu ni minor sana kumdai mtu deni sio dhambi ni haki? Wakrsto wanaamini Yesu alikuja kulipa deni kwa kufa msalabani unazan Mungu akua na njia nyingine had mwanae alipe deni la dhambi kwa kifo??
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.

Mungu fundi nyie!
Umeamuliwa....
 
Kwanza mimi naamini ugomvi huu umeingiliwa mkono wa serikali na kuamuliwa Membe aende zake.
Ama kwa maneno yakp ya paragrafu ya pili, tukumbuke tu bado Musiba ana deni na Membe na kama yalivyo madeni yote ambayo marehemu yeyote yule anayoyawaacha nyuma huchukuliwa na familia ya wafiwa basi Musiba akumbuke tu anatakiwa ailipe familia ya Membe. Nina hakika sana kuwa familia ya Membe itahakikisha wanapata mirathi yao kutoka kwa Musiba.
Wadanganye , pukutisha wote anayetia maguu
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu [emoji28].

Mungu fundi nyie!

Unajua tofauti ya ugomvi na deni? Lile ni deni na had amekufa hajasema amesaheme deni hivyo bado famili watalipwa tu labda wao ndo wasamehe,lkn pia msamaha wa madeni hauwez kuamuliwa na Mungu ni minor sana kumdai mtu deni sio dhambi ni haki? Wakrsto wanaamini Yesu alikuja kulipa deni kwa kufa msalabani unazan Mungu akua na njia nyingine had mwanae alipe deni la dhambi kwa kifo??
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.

Mungu fundi nyie!
Ugomvi uliamuliwa mahakamani siku nyingi mengine ni utekelezaji tuu.
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu 😅.

Mungu fundi nyie!
Hukumu iko pale pale,

Dalali atafanyakazi yake ya kupiga mnada na msimamizi wa marehemu atapatiwa kitita chake kwaniaba ya marahemu.
 
Hakika mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamliwa na Mungu [emoji28].

Mungu fundi nyie!

Mahakama inasemaje?
 
Back
Top Bottom