Rasmi ugomvi wa Membe na Musiba umeamuliwa na Mungu, Mungu fundi

Rasmi ugomvi wa Membe na Musiba umeamuliwa na Mungu, Mungu fundi

Inategemea na mioyo yao. Mungu awafanyie wepesi.
Mlongo familia itaogopaaa, mganga wa Musiba ni mkaliii sio kwa haraka hii, yaan chapu kwa fastaa.
Asubuhi tyuuh watu wanaweka turubai. Mweeeh
 
Ukute musiba Yuko zake Ukara amejichimbia kwa bibi yake anasema "hatujamaliza, hatujamalizaa......" Anaandaa kombora jingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna unawaogopeshaaa sasa
 
Sipati picha siku mzee wa "Wema hawafi" au Vasco Da Gama mwenyewe (mhandisi wa mipango yote) wakikata moto itakuwaje mitandaoni humu.

Watanzania tumekuwa watu wa hovyo sana. Hata sijui tumefikaje hapa.

RIP Membe jasusi bobevu!
Itakua vurugu match humu ndaniii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakika Mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.

Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamuliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamuliwa na Mungu 😅.

Mungu fundi nyie!


Wafilipi 1:21-27

Kwangu, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida zaidi.

Lakini, kama kwa kuishi nitaweza kufanya kazi yenye faida zaidi, basi, sijui nichague lipi! Nakabiliwa na haya mawili yaliyo sawa.

Natamani kuyaacha maisha haya nikakae pamoja na Kristo, jambo ambalo ni bora zaidi; lakini ni jambo la maana zaidi kwenu kama nikiendelea kuishi.
Nina hakika ya jambo hili, na hivyo najua kwamba nitaendelea kuishi pamoja nanyi nyote, ili nipate kuongeza maendeleo yenu na furaha katika imani.

Basi, nitakapokuwa nanyi tena mtakuwa na sababu ya kuona fahari juu yangu katika kuungana na Kristo Yesu.
Basi, jambo muhimu ni kwamba mwenendo wenu uambatane na matakwa ya Injili ya Kristo, ili kama nikiweza kuja kwenu au nisipoweza, nipate walau kusikia kwamba mnasimama imara mkiwa na lengo moja, na kwamba mnapigana vita kwa pamoja na mnayo nia moja kwa ajili ya imani ya Injili.
 
Msamehe tu huko aliko.

Binadamu tuna tabia ya kujisahau tukiwa wazima na akaunti za benki zikiwa na afya.

Imagine siku mzee wa "Wema Hawafi" atakapokata moto. Watu si watashangilia kabisa?

Tuchunge ndizi zetu na kusameheana!
Siku hiyo kama tutakuwa hai tutacomment kifupi fupi "wema hawafi"
 
Back
Top Bottom