Rasmi wanajeshi wa Israel waingia Rafah mjini kati

Mimi nawaonea huruma rais wa palestinian, kwa upande wa Hamas Israel lazima awakomeshe, wameua watu zaidi ya 1000 na wakateka zaidi ya watu 200 na wakaenda kujificha Gaza, na wakaapa kubwa wataliangamiza Israel, huku Iran nchi ya mbali inasema nataka kuifuta Israel kwenye thamani ya dunia, mnataka Israel ifanyeje? Israel anatafuta adui, chukulia mashambulizi ya Sept 11 kule USA unaona USA alivyovuruga nchi za Iraq, Pakstan, Afghanistan, Syria, bora hata Israel anapigana ili aweze kuishi. Kama Rusia amepiga Ukraine kwa kutaka kujiunga NATO sembuse Israel ambayo imevamiwa mchana kweupe na dunia yote ikaona na nchi za kiarabu zikaandamana kupongeza mauaji hayo halafu leo unakuja kusema Israel wanatapatapa.
 
Kama unatumia akili vizuri marekani alienda kupambana hakuuwa raia kwa makusudi hata siku moja
Marekani au russia hawajawahi kupiga kambi za wakimbizi ingawa wanao uwezo huo ila ubinaadamu ,utu na sheria za kimataifa zinawakataza kufanya hivyo
Anachofanya netanyahu kwa sababu zake za kisiasa zinaiangamiza israel na kuwaweka kwenye historia mbaya duniani,
Netanyahu na kundi lake leo wamegeuka kutoka kuheshimiwa kama viongozi hadi kuwa wahalifu, kiufupi wamejimaliza wenywe
Na haya yote wajuzi wa mambo walishayaona rudia inerview ya waziri mkuu wa zamani wa israel ehud barak alionya kuhusu anguko hili since january, kwamba netanyahu na right wing wenzake wanaiangamiza israel na wanaweka maisha ya waisrael wote duniani kwenye great risk
 
Islamic terrorists, HAMASI, yamefanikiwa Nini?
Terrorists ni hao wavaa misalaba na Netanyahu na wenzao.

Hamasi amefanikiwa juangusha uchumi wa Israeli na mataifa wanao msaidia.

Hamasi anashikilia matekwa mpaa leo huyo Netanyahu alijidai atawakomboa kwa week tatu tu πŸ˜„

Hamasi kashangaza watu walio kuwa wakidhani Israeli ana one of the best intelligence duniani kachakazwa ndani ya camp za jeshi Lake πŸ˜„

Bado unauliza ujinga eti Hamasi kafanya nini πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…