Kujiamini kupita kiasi ni tatizo.attitude ya yanga ya kutooģopa mabadiliko,ndo iliyoifikisha hapa kuwa timu iliyofanikiwa zaidi nchini.
Yaani hapa wameshapoteana - asante Mzee Kagoma kazi umeimaliza.Viongozi wa yanga acheni mihemuko
work doneHii Kwa lugha yetu sisi tunaita
🤣 UBAYA UBWELA🤣
Chama na Aziz nani mzigo kwa Sasa?Kosa lake eti baada ya kipigo cha 3 walitaka meeting palepale uwanjani- njemba akagoma akasepa zake na kocha wake.
Pia kawaambia ukweeli maboresho ya kikosi hayakutokana na mapendekezo yake aka Chama ni mzigo.
We na uwe unatumia akili muda mwingine, ukimfukuza kocha Ina maana unavunja mkataba unatakiwa kumlipa maslahi yake na mshahara wake uliobaki, hapa yanga ndo anaingia hasara sasa, mambo ya GSM kuishiwa yametoka wapiWote Mnaukwepa Ukweli, GSM Kashaanza Kuishiwa.
Mshahara Wa Gamondi Kashindwa,mkitaka Gamondi aendelee Jikusanyeni mumlipe Salary.
Yanga Imefungiwa na FIFA kusajili Kwa Kuwa Wameshindwa kumlipa Okra Magic..!
Wakati GSM anakata Moto.....!
Mo Dewji anazidi kumwaga mihela ya Kusajili kama njugu, WanaLunyasi Wanampango Kuandamana kushinikiza asimame Kufanya usajili Mwingine
Mkipigwa Tena round 2 msilie GSM anaharibu timu.Yaani hapa wameshapoteana - asante Mzee Kagoma kazi umeimaliza.
Hakuna timu humo kaka, biashara ndo ishakwisha hiyo.Mkipigwa Tena round 2 msilie GSM anaharibu timu.
Tuchel alifukuzwa pale chelsea kwa kufungwa mech 3 ikiwa msimu uliopita aliwapa chelsea UEFANilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Katikati ya mto kikao kinapitisha nahodha atoswe.Ubaya Ubwela umeanza kulipa!
Kwani wametoa sababu kuwa kisa ni kupoteza mechi mbili?Mtu kapoteza mechi mbili wanafukuza kocha? Wenzetu wenye lig kubwa huko ulaya, kocha anaweza fungwa hata 10 matches but wapo naye?
I though hersi was smart than this
Kubwa jinga moja linajiita UMUGHAKA litakua limefurahiUjinga mtupu yaani yale makelele ya mbumbumbu ndio yamemfanya injinia kujaa upepo na kumuondosha mwamba..
Kulikua na mjinga humu pia nafikiri atafurahi sana amefungua nyuzi karibia kumi kumuhusu Gamondi hapa injinia kajinyea kabisa heshima yote kaivua labda kuna sababu tofauti lakini si ya kufungwa mechi mbili..
Wasingefungwa haya maamuzi yangekuwepo?Kwani wametoa sababu kuwa kisa ni kupoteza mechi mbili?