princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Hali ngumu mkuu tupeni kazi za kufanya mana tushakua mazobaTtzo la wabongo atutaki tafuta furaha sehemu ingne sehemu pekee inayowapa furaha wabongo weng ni Yanga na Simba
Kheireddine Madoui apewe tmTafuta uzi wa Tetesi za Usajili wa ndugu Hichilema
Bundi wa mtaa wa pili analilia juu ya paa letu safar hii ,lazima tupoteane na huu ndio mwanzo πππππMbona kama wamekurupuka sana. Au kuna ugomvi tusioufahamu?
Manara alisema wenye akili yanga ni wawili tuu.Mpira wa kiafrika wa kifala tu, injinia kajishushia heshima ni mjinga
Kocha anashinda bar usiku.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£mtoto kautaka
Na ukiwa ndani unaonaje ya nje??ukiwa nje huwez ona ya ndani
Furaha haitoki nje inatoka ndani yako.Ttzo la wabongo atutaki tafuta furaha sehemu ingne sehemu pekee inayowapa furaha wabongo weng ni Yanga na Simba
Ilikua ni zali la mentali tu au sio?? ππ.Hamna kiongozi pale, yule ni msela.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;zilipendwa
hapa ndio unapokuja kuamini kuwa kwel ccm wanazitumia hiz timu!.Watu watasahau kabisa kuhusu uchaguzi.
Manara effect
Chikola effect
Leo hii.π€£π€£π€£.tatizo uvumilivu hamnaKocha anashinda bar usiku.
Sio kweli bwana,Shida ni uongozi wa Yanga, unamfukuzaje kocha kwa kupoteza mechi mbili na timu iko nafasi ya Pili?hapa ndio unapokuja kuamini kuwa kwel ccm wanazitumia hiz timu!.