Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maeneo mengi bongo hayaongozwi na facts ni migemko na hisia, angalia hata baadhinya viongozi wetu, not professional at allWamezingua yaani kufungwa mara mbili imefuta kila kizuri kilichofanywa na Gamondi, mpira wa bongo wa kipuuzi kabisa umejaa hisia na mihemko mingi.
Mpira wa kiafrika wa kifala tu, injinia kajishushia heshima ni mjingaMtu kapoteza mechi mbili wanafukuza kocha? Wenzetu wenye lig kubwa huko ulaya, kocha anaweza fungwa hata 10 matches but wapo naye?
I though hersi was smart than this
Naunga mkono hojaIkiwa kafukuzwa sababu ya matokeo ya mechi 2 tu basi Yanga wamedhihirishia ulimwengu wote kuwa ni wapumbavu wakubwa.
Hamna kiongozi pale, yule ni msela.Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Hersi amekurupukaWamezingua yaani kufungwa mara mbili imefuta kila kizuri kilichofanywa na Gamondi, mpira wa bongo wa kipuuzi kabisa umejaa hisia na mihemko mingi.
Chikolaaa ana roho mbaya..kaotesha nyasi kibarua Cha kiparaYote haya ametaka Tabora na Chikolaaaaa
YAweza kuwa kapewa dau kubwa zaidi mahali,ila sii kifungwa mechi mbili.Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Kwa hili enjinia kazingua sana.Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
aKwa jirani kunawaka moto yaani hamjui kabisa kitu uvumilivu, mechi mbili tu.
Shida ya uongozi wa yanga wanasikiliza sana mashabiki wao.