Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulieni dawa iwaingie!!Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Tangu ligi ianze tunaperfom chini ya kiwango.Maamuzi ya hovyo sana, injinia nilimuona mtu fulani very smart but kwenye hili kakurupuka. Timu mnampa muhuni ndo madhara yake hayo. Sisi kwetu sherehe tu.
🤣Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Tetesi ni kwamba Gamondi na msaidizi wake wanatakiwa Kabylie na wana ofa nzuri sana, hivyo Gamondi katengeneza visa ili atimuliwePengine kuna kitu nyuma ya pazia hatujui.
Otherwise wamekosea sana.
Huyo tayari ana timu ndio maana alianzisha chokochoko ili atimuliweAzam wangekuwa hawana kocha wangembeba Gamondi
Imelala yooRaha ya milele umuangazie eeh bwana
View attachment 3152877
Na asipomfukuza Aziz ki aliyekosa goli hakika eng atakuwa ni boya ya kiwango cha juu kumtimua kocha 😂😂Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
MastelingiIgizo limefika mwisho.
Si kila Ke ni wa kujitafunia tu, wengine huja kwa misheni maalum, huwa na mikosi isiyo na mifano.Mobeto jamani. Au aende tu Miami kwa Chris madevu, Ndo kaleta mazara yote Haya!
Kosa lake eti baada ya kipigo cha 3 walitaka meeting palepale uwanjani- njemba akagoma akasepa zake na kocha wake.Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu