Rasmi: Yemen watangaza vita na Israel

Wewe bado Fala Tu hiyo inajulikana Una laana ya wizi wewe na Baba yako
Toka mwanzo nakuambia miimi sitaki mashoga unakuja mpaka DM unaomba pipe mimi siyo zangu hizo kama uliharibiwa seminari na Mafather mimi sina cha kukusaidia.
 
The Israel Defense Forces acknowledged the death in battle of nine soldiers from the 84th Givati Infantry Brigade.

All those killed were members of the same unit and were allegedly ambushed by Hamas in the Gaza Strip.

The footage shows the evacuation of wounded Israeli soldiers.
 
Mpaka pale wafanyabiashara wa silaha watakapobadili biashara
Haitawezekana kama vile ambavyo makampuni makubwa ya dawa yanavyofurahia sisi kuendelea kuumwa

Mabomu, bunduki na makombora yote ni kwa ajili ya wanadamu sio wanyama wa porini
 
Hazitaisha mkuu. Hawa watu ni washari by nature. Myahudi kazi anayo maana hao wote; kutoka Kusini, Kaskazini, Mashariki na Magharibi pasi na hiari ni lazima awape dawa.
Basi hivi ni vichocheo vya vita ya 3 ya dunia
 
Kuna watu wanapenda jamani. Hawa Yemeni wamekuwa wakitwangana wenyewe kwa wenyewe miaka mingi; je vimeisha?

Vv
 
hawa hata hawawezi kuwanyima israel usingizi, hata mahandaki hawana hawa,watapukutishwa kama hawajawahi sikia. waache waingie kwenye mdomo wa mamba.
Wewe upo Kimara Temboni hujui chochote zaidi kuropoka tu.
 

Attachments

  • f87caf50-005c-4071-a7a3-d756c2d6deb8.mov
    2.1 MB
Wewe upo Kimara Temboni hujui chochote zaidi kuropoka tu.
haina shida, vilevile wanavyoshangilia askari wa kiyahudi mmoja akifa, washangilie pia na bomu likifumua watoto wao. wasiwe wanalialia sasa.
 
Wasije anza kulia pale Israel itakapoanza kusafisha huko Yemen.
Kabisa na wasianze kusema Israel haifuati sheria za kivita, wakati wao wanafyatua makombora kwenda Israel kama vipofu bila kujali raia na wanajeshi wkt kambi za kijeshi zipo tofauti na wao wanaficha silaha hospitali.
 
Mkuu umeleta uzi mwingine.
KWANI HAO WAARABU WAMESHAMALIZANA NA WASAUDIA
NB: DRONE IPI AU KOMBORA LIMEFIKA ISRAEL?????
WAMEJARIBU NA WAKAISHIA KUUA WAARABU WA MISRI
 
Mkuu una story za uongo.
Kama wangekua na makombora si wangeyatuma saudia wanakopigwa nao mabomu kila kukicha 🤣🤣🤣
 
Misri wanapiga kila nyumba kumsaka mazayuni wakiwapa vibano
 
Bolivia 🇧🇴 closes the Israeli embassy, becoming 1st nation to end diplomatic ties with
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…