Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
regardless anasaidiwa na Marekani or not, wachokozi lazima washikishwe adabu. Tena wapigwe vipigo vya ajabu kiherere kiwatoke waiheshimu israelAlichokifanya marekani kusogeza meli mbili kubwa zaidi za kivita kuisaidia Israel ndicho kilichofanyika kwenye hizo Vita na waarabu ambazo muisrael anajisifia kushinda
Wapalestina wanasema kuwa kuanzia sasa Gaza iitwe makaburi ya Gaza ya Wayahudi, wameingia wenyewe 18 yetu, bado hatujaanza kazi tunatamani sana waendelee kuja, wasiogope:
View: https://youtu.be/IxAIl6UfuAw?si=9FTnucWuFUbWiEPf
Ningoje nini kijana, nami nimeweka habari zenye chanzo?....
Dah!!
akili ulizihongea mapenz nn?Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.
Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
yaan NATO vs Taliban , kwel ?Unakumbuka matokeo ya vita ya Taliban n NATO.
kwamba muache mkiua waisrael kisa sio waislam? nyiny mnajiona lastborns sanaKwani marekani yeye anavyoingilia hii vita inamuhusu? Let's discuss this logically
wewe kichwan ni hamnazo wapalestina wana dini tofaut tofautNdio maana ni vita vya kidini dhidi ya waislam
[emoji23][emoji23][emoji23] 2Hesabu za uwiano
Kama nchi 6 zilipigana siku 6 je nchi mbili siku ngapi?
dini imekufanya umekuwa mwehu , kila kitu unafikiria diniSema wewe kafiri kwa sababu dhidi ya waislam ndio unasema sio vya kidini
aone Aibu kwan yeye ni musrael?Huoni aibu kama USA amekataa na Netanyahu, kuzima vita unategemea nini halafu huoni aibu USA kuichangia gazi pamoja
rudi milembe , wewe umetumia utafit gan kusema kiongoz wa misri hapendw?Misra yule kiongozi amewekwa na marekani ,na ndo hepwnda watu wa naman hiyo ,pia huyo isisi anapokea misaada mingi sana kutoka USA ndo maaana hawezi sema lolote
Kafiri bibi yako, dini tumeletewa unaanza kutusi watu!!mtagongwa mpaka mfe...!!Sema wewe kafiri kwa sababu dhidi ya waislam ndio unasema sio vya kidini
Wewe jibu hoja yake, hili siyo jukwaa la mahusiano.akili ulizihongea mapenz nn?
mkuu stuka dini inakulemaza akili bado kdg itajiunga na makundi ya kigaid , kwa namna nyingine huo ni ugonjwa wa kisaikolojiaHaijalishi. Lkn hivi vita dhidi ya waislam. Umeona kafiri Ukraine alipovamiwa? Hukusikia dunia?