Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Ugomvi wa jirani kuuingilia kichwa kichwa kutazaa maafa zaidi kwa wayemen.
Mtoto akililia wembe, mpe!
Mtoto akililia wembe, mpe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapalestina wanasema kuwa kuanzia sasa Gaza iitwe makaburi ya Gaza ya Wayahudi, wameingia wenyewe 18 yetu, bado hatujaanza kazi tunatamani sana waendelee kuja, wasiogope:
View: https://youtu.be/IxAIl6UfuAw?si=9FTnucWuFUbWiEPf
Umeishia darasa la ngapi wewe...hii mikwala ya kijinga anayofanya Yemen unaamini? Hiyo nchi haina uwezo wa KUPIGANA vita na hawana uwezo huo kijeshi, ushabiki wa Simba na yanga usipeleke vitaniIsrael anawaonea tu Palestina shughuli ndiyo imeenza sasa hawa Yemeni wanapelekewa Silaha nzito zamu ya Tel Aviv kuzika watoto.
Mkuu, katika vitu ambavyo sikushauri ufanye ni kukashfu jina la Mungu..,hapo ni sawa na kusema Mungu ni ..., Allah ni kiarabu japo najua unajua.
Ni kweli wametangaza na wamerusha makombora na droni.Israel wanasema baadhi ya vufaa hivyo wamevitungua kabla ya kuinjgia Israel.Wanaukumbi.
BREAKING: YEMEN DECLARED THEY ARE NOW AT WAR WITH ISRAEL
The Republic of Yemen is the first country officially to announce its entry into the “Battle of the Flood” of Al-Aqsa and launches a large number of ballistic and winged missiles and drones at a number of Israeli IOF targets inside occupied Palestine.
Mimi huwa siwajibu wapuuzi kama hao.Hata wakiwa wanasema kwa kutojulikana.Allah huwa anawajua walipo na wakirudia rudia huwatia mkononi.Mkuu, katika vitu ambavyo sikushauri ufanye ni kukashfu jina la Mungu..,hapo ni sawa na kusema Mungu ni ..., Allah ni kiarabu japo najua unajua.
Muulize Mama yako nilkuwa nakuja kwenye bweni lao usiku atakuambia.Umeishia darasa la ngapi wewe...hii mikwala ya kijinga anayofanya Yemen unaamini? Hiyo nchi haina uwezo wa KUPIGANA vita na hawana uwezo huo kijeshi, ushabiki wa Simba na yanga usipeleke vitani
Kuna mwngn atasema Kwani kuna Mungu anaitwa God..,Mbona chuki zimetutawala sana ngozi nyeusi, shida nn?
[emoji16] Tanzania tena mkuu? Fanya editionBudget Yao 45% wanategemea wahisani hii ni nchi masikini zaidi Tanzania je wataweza kuishi maisha ya vita Kwa miaka 2 kama Ukraine?
Hiinawekea lamination kabisa. Hawa nyumbu hawachelewi kubadili gia anganiSasa hivi mnawasifia Yemen wakianza kubabuliwa hatutaki kusikia vilio kuanza kutafuta huruma kwamba Israel anaua watoto na vizee
Lengo lilikuwa kuwatoa Taliban kutawala Afghanistan. Lakini NATO wamefunga vilago wakiiacha Afghanistan ikichukuliwa tena na TalibanYani Mtu kakukalia kooni tena nchini mwako zaidi ya miaka 20, afu kajitoa baada ya kumaliza masilahi yake ndipo mnajidanganya kuwa Watalibani walifurukuta mbele ya superpower USA? kweli akili ni nywele [emoji38]
Dah to be honest hii imenisikitisha kabisa.Wapalestina inabidi wajicheleweshe kwenda hedhi maana hamna maji ya kujisafisha[emoji23][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
No privacy, no water: Gaza women use period-delaying pills amid war
Tablets used to delay periods can cause negative side effects but without access to water and hygiene products, women in Gaza say they have no choice but to use them.
Tena hao watalia na kusaga meno haraka sana,Wasije na wenyewe wakaanza kulia .
Yemen na Iran wapo kwenye Bongo Movie
Hao magaidi walimgusa nani wako?Dah to be honest hii imenisikitisha kabisa.
Poleni sana wanawake wa Gaza. Lakini acheni kutunza magaidi, zuieni na kemeeni kabisa wanenu kujiunga na makundi ya kigaidi, kule mbinguni ni kusali tu hakuna bikra hata moja na hakuna hata mto mmoja wa pombe. Waleeeni mkiwafundisha kujua madhara ya ugaidi ni pamoja na kuvamiwa na wababi na kukosa mahitaji muhimu, even those for survival.
Sent using Jamii Forums mobile app