Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Ila kwer kama naiona Third worldwar inaendelea kujaa sasa sisi kataifa kadogo mbn waendelee na mataifa Yao makubwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio imekuwa mahubiri yao misikitini. Waislam waache kuchanganya mambo ya dini na ya dunia. Wale wananyukana si kwa dini ni kugombea ardhiWaislamu wameichukulia kama vita ya kidini
Allah ni uchafu hakuna Mungu aitwae AllahWajipange tu waarabu wote ili historia ijirudie yenyewe ndio watajua kwamba allah sio Mungu wa kuwapigania watu ila yeye ndio anataka apiganiwe.
Atawapiga kama ngoma[emoji3]Aisee! baada ya miaka kumi nchi zote za kiarabu zitakuwa zimekaliwa na wayahudi..
Israel alikuwa akivuta mda wa kuingia gaza ili wajinga wajinga kama Yemen waingie kwenye 18 israel asije akachoma wese bure hapo gaza ngoja awakusanye kwanza
Hiii vita Israel naona anavyoelekea kusanda hapo Irani ajatia kambi mbona watasema tuWanaukumbi.
BREAKING: YEMEN DECLARED THEY ARE NOW AT WAR WITH ISRAEL
The Republic of Yemen is the first country officially to announce its entry into the “Battle of the Flood” of Al-Aqsa and launches a large number of ballistic and winged missiles and drones at a number of Israeli IOF targets inside occupied Palestine.
Hivi marekani ndo christian au?Ndio maana ni vita vya kidini dhidi ya waislam
Andaeni maji ya kunawa machozi kwa vilioWanaukumbi.
BREAKING: YEMEN DECLARED THEY ARE NOW AT WAR WITH ISRAEL
The Republic of Yemen is the first country officially to announce its entry into the “Battle of the Flood” of Al-Aqsa and launches a large number of ballistic and winged missiles and drones at a number of Israeli IOF targets inside occupied Palestine.
Kama kile cha six days War eti mkuu?Israel anaenda kuchezea kichapo na hatoamini
Hakuna hoja ya kitabu kinachotumika. Hoja iliyopo ni kwamba Yemeni anajitakia shari i.e. amejiingiza kwenye mgogoro usiomhusu tena bila kuombwa.Huyu Israel hua mnamuona kama Mungu sio, mijitu michafu kazi yao ushoga na mauwaji nyie ndio mnawatukuza kitabu chenu kimewadaganya sana.
kama kuna taifa linataka kuharibu uchumi wake liingie vitani kupigana na israelYemen ni nchi maskini zaidi pale Middle East na imepigana vita miaka mingi.
Yemen yenyewe iko vitani hadi sasa, imegawanywa mara mbili hakuna kundi lenye control nzima ya nchi. Kuna Houthi na serikali halali inayotambuliwa na mataifa inayoungwa mkono vitani na Saudi Arabia.
Hakuna mahala ambapo Yemen imedai inaingia vitani. Na kwa hiyo Hezbollah, mpaka sasa washauwawa wapiganaji wake zaidi ya 80. Mpaka sasa wanajeshi kama 20,000 wa Israel wapo Gaza. Hezbollah ilitishia Israel ikiingia Gaza inaanzisha vita nayo na Israel inashambulia positions za Hezbollah ndani ya Lebanon.
Ikiwa Hezbollah wataingia vitani Israel imejipanga.
Marekani alitoa jeshi Somalia na. bajeti yake kubwa kila siku alikuwa anasafirisha majeneza.Budget Yao 45% wanategemea wahisani hii ni nchi masikini zaidi Tanzania je wataweza kuishi maisha ya vita Kwa miaka 2 kama Ukraine?
Wagalatia si mnapenda vitaVITA HIZI SIJUI ZITAISHA LINI
Tusubiri dakika ya mwisho ndo ukweli utafahamika. Ni bora tuitumie vita hii kama fursa i.e. kwenye "Wazee wa kuweka mzigo" i.e. Ku-bet.Israel anaenda kuchezea kichapo na hatoamini
Unatoaje laki 4 kununua Tecno?
Ilitakiwa Na nani?Ilitakiwa hizo tanks za Marekani zifumuliwe na kuzamishwa hapo hapo zilipopaki!
Alichokifanya marekani kusogeza meli mbili kubwa zaidi za kivita kuisaidia Israel ndicho kilichofanyika kwenye hizo Vita na waarabu ambazo muisrael anajisifia kushindani juzi juzi tu waliunda serikali baada ya kumuondoa madarakani rais aliyekuwa anatawala. Na hao hezbollah huko lebanon si kwao, walioingia huko kama wakimbizi wakaanza kushiriki siasa za nchi hiyo dhaifu kisiasa na wakapata nguvu kiasi cha kutawala siasa za lebanon kama ilivyo hamas katika ukanda wa gaza. Sasa lebanon chini ya hezbollah ianzishe hiyo vita na israel ndio itakuwa mwisho wao kutawala siasa za lebanon. Israel haishindwi na haitashindwa kuwanyuka yemen na hezbollah kwa wakati mmoja. Dunia itashuhudia maajabu mengine ya ushindi wa israel katika vita nyingine tena