Rasmi: Yemen watangaza vita na Israel


Misri anajua kabisa hali halisi, Ameshapigwa mara 3 kwa 0 sasa akaona huyu mtu sio

Yemeni haina tofauti na Msumbiji zaidi ina raia wanaojilipua tu kwa mgongo wa Mabikira 70
 
Huoni aibu kama USA amekataa na Netanyahu, kuzima vita unategemea nini halafu huoni aibu USA kuichangia gazi pamoja
 
Yemen anataka kumwongezea Israeli eneo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Misri anajua kabisa hali halisi, Ameshapigwa mara 3 kwa 0 sasa akaona huyu mtu sio

Yemeni haina tofauti na Msumbiji zaidi ina raia wanaojilipua tu kwa mgongo wa Mabikira 70
Misra yule kiongozi amewekwa na marekani ,na ndo hepwnda watu wa naman hiyo ,pia huyo isisi anapokea misaada mingi sana kutoka USA ndo maaana hawezi sema lolote
 
Limeshushwa misile moja leo limeenda na watu zaidi ya 100...

The world is watching..!? We are watching!??
Why!?😔😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…