Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mwenye masikio na asikieIshara, kwamba yu karibu malangoni. Muonapo haya, changamkeni...
Wana hamu ya kuwahishwa kuzimu wakakae na mabikira 70 wa ujinini na kugida pombe za kwenye mito😂🤣Yemen wameshiba tende na sharubati wanaanza kubweka. Wanajua kabisa kuwa tank za US zimepark hapo baharini zinamsubiri mtu yeyote ataketetea magaidi zimwakie barabara.
Wanao umia ni watotoVITA HIZI SIJUI ZITAISHA LINI
Yani Mtu kakukalia kooni tena nchini mwako zaidi ya miaka 20, afu kajitoa baada ya kumaliza masilahi yake ndipo mnajidanganya kuwa Watalibani walifurukuta mbele ya superpower USA? kweli akili ni nywele [emoji38]Unakumbuka matokeo ya vita ya Taliban n NATO.
Wapalestina inabidi wajicheleweshe kwenda hedhi maana hamna maji ya kujisafisha😂🤣👇👇👇Yani Mtu kakukalia kooni tena nchini mwako zaidi ya miaka 20, afu kajitoa baada ya kumaliza masilahi yake ndipo mnajidanganya kuwa Watalibani walifurukuta mbele ya superpower USA? kweli akili ni nywele [emoji38]
Mbwembwe, hata Kidukulilo anafunga mahesabu mapema sana kwa kumtoa Iran KO [emoji1787]
Kutokea wapiLimeshushwa misile moja leo limeenda na watu zaidi ya 100...
The world is watching..!? We are watching!??
Why!?😔😔
wao wametangaza kushambulia nashangaa bado upo huku nenda kasaidie kuwajibuMkijibiwa msianze kulialia
Tatizo iraniaKanchi kadogo kakimasikini kanaenda kuingilia vita ambayo haiwahusu….akili za hawa watu wanazijua wenyewe!
Wewe endelea tu kutumia dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili utapona ukiziwacha watakurudisha tena Mirembe pole sanaUkistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni.
Mudi alipiga kamba Wapumbavu kuwa allah kaagiza ukimuua Binadamu mwenzio ambaye hujamuumba wewe basi utapata bikra 72 na mito ya pombe peponi.
Wewe endelea tu kutumia dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili utapona ukiziwacha watakurudisha tena Mirembe pole sana...[emoji2]Wewe endelea tu kutumia dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili utapona ukiziwacha watakurudisha tena Mirembe pole sana
Hazitaisha mkuu. Hawa watu ni washari by nature. Myahudi kazi anayo maana hao wote; kutoka Kusini, Kaskazini, Mashariki na Magharibi pasi na hiari ni lazima awape dawa.VITA HIZI SIJUI ZITAISHA LINI
Huyu Israel hua mnamuona kama Mungu sio, mijitu michafu kazi yao ushoga na mauwaji nyie ndio mnawatukuza kitabu chenu kimewadaganya sana.Shauri yao, wanatafuta shari kutoka kwa Israel, kitakachofuata wasije wakalalamika
We unaifahamu Yemen au unaropoka tu waulize waingereza na waturkey na wa Saud Arabia watakuhadisia.Wasije anza kulia pale Israel itakapoanza kusafisha huko Yemen.
Huyo ni IranKanchi kadogo kakimasikini kanaenda kuingilia vita ambayo haiwahusu….akili za hawa watu wanazijua wenyewe!