FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Yemen rasmi wametangaza vita na Israel na wamewataka wakazi wote wa Tel Aviv kulihama hilo jiji la mashoga tel aviv, kwa kuwa lipo ndani ya uwezo wao kulibamiza na wameshaonesha hilo nara mbili tatu.
Wameendelea kusema kuwa "hauliwi Myemeni na yeyote yule duniani bila damu yake kulipwa, tupo tayari kupigana mpaka Myemeni wa mwisho kabisa duniani lakini ni lazima damu ya Myemeni ilipwe. Wasiolijuwa hilo, wasome historia.
Wayemeni wamekumbusha, mayahudi walipokosa pakuishi huko zamani, Yemeni ilikuwa nchi ya kwanza kihistoria kuwapokea, kuwapa makazi na kuwaweka huru kama raia mwenginebyeyote yule.
Leo hawa mashetani mazayuni wameleta fitnah kubwa duniani, haivumiliki".
Wanasema wana uwezo wa kubamiza popote ndani ya Israel na wameziweka wazi shabaha (targets) zao zote. Jionee 👇🏾
View: https://youtu.be/AZUhEUCjqYs?si=jdT6Q7kwaZl-IX8a
Wameendelea kusema kuwa "hauliwi Myemeni na yeyote yule duniani bila damu yake kulipwa, tupo tayari kupigana mpaka Myemeni wa mwisho kabisa duniani lakini ni lazima damu ya Myemeni ilipwe. Wasiolijuwa hilo, wasome historia.
Wayemeni wamekumbusha, mayahudi walipokosa pakuishi huko zamani, Yemeni ilikuwa nchi ya kwanza kihistoria kuwapokea, kuwapa makazi na kuwaweka huru kama raia mwenginebyeyote yule.
Leo hawa mashetani mazayuni wameleta fitnah kubwa duniani, haivumiliki".
Wanasema wana uwezo wa kubamiza popote ndani ya Israel na wameziweka wazi shabaha (targets) zao zote. Jionee 👇🏾
View: https://youtu.be/AZUhEUCjqYs?si=jdT6Q7kwaZl-IX8a