Rasmi: Yemen yatangaza vita na israel (Yemen Declares War with Israel)

Rasmi: Yemen yatangaza vita na israel (Yemen Declares War with Israel)

Mnazidi kudhihirosha ukondoo wenu. Aliewaita kondoo hajakosea.

Nani alikudanganya Wahouthi siyo Wayemeni?
Faiza umevurugwa haswa leo, hadi unachapia na wewe wakati ndio huwa uko mstari wa mbele kushushua watu wakichapia unaawambia huko shuleni walienda kusomea ujinga?

Umechapia mara kadhaa katika bandiko hili. Hebu fanya proof reading kabla ya kubofya kitufe cha send dada yangu kama ilivyo kawaida yako.
 
Huu mziki mkubwa sana utakua na faida kwa Urusi kwasababu sasa US atakomaa zaidi kumsaidia shoga yake Israel na kule Ukraine Urusi ni kushusha moto tu mashoga yote yakae chini
 
Yemen rasmi wametangaza vita na Israel na wamewataka wakazi wote wa Tel Aviv kulihama hilo jiji la mashoga tel aviv, kwa kuwa lipo ndani ya uwezo wao kulibamiza na wameshaonesha hilo nara mbili tatu.

Wameendelea kusema kuwa "hauliwi Myemeni na yeyote yule duniani bila damu yake kulipwa, tupo tayari kupigana mpaka Myemeni wa mwisho kabisa duniani lakini ni lazima damu ya Myemeni ilipwe. Wasiolijuwa hilo, wasome historia.

Wayemeni wamekumbusha, mayahudi walipokosa pakuishi huko zamani, Yemeni ilikuwa nchi ya kwanza kihistoria kuwapokea, kuwapa makazi na kuwaweka huru kama raia mwenginebyeyote yule.

Leo hawa mashetani mazayuni wameleta fitnah kubwa duniani, haivumiliki".

Wanasema wana uwezo wa kubamiza popote ndani ya Israel na wameziweka wazi shabaha (targets) zao zote. Jionee 👇🏾


View: https://youtu.be/AZUhEUCjqYs?si=jdT6Q7kwaZl-IX8a

Shida yako wewe ni moja tu; kila mada utakayo ileta humu jukwaani, basi lazima iwe na harufu ya dini yako!
 
Yemen rasmi wametangaza vita na Israel na wamewataka wakazi wote wa Tel Aviv kulihama hilo jiji la mashoga tel aviv, kwa kuwa lipo ndani ya uwezo wao kulibamiza na wameshaonesha hilo nara mbili tatu.

Wameendelea kusema kuwa "hauliwi Myemeni na yeyote yule duniani bila damu yake kulipwa, tupo tayari kupigana mpaka Myemeni wa mwisho kabisa duniani lakini ni lazima damu ya Myemeni ilipwe. Wasiolijuwa hilo, wasome historia.

Wayemeni wamekumbusha, mayahudi walipokosa pakuishi huko zamani, Yemeni ilikuwa nchi ya kwanza kihistoria kuwapokea, kuwapa makazi na kuwaweka huru kama raia mwenginebyeyote yule.

Leo hawa mashetani mazayuni wameleta fitnah kubwa duniani, haivumiliki".

Wanasema wana uwezo wa kubamiza popote ndani ya Israel na wameziweka wazi shabaha (targets) zao zote. Jionee 👇🏾


View: https://youtu.be/AZUhEUCjqYs?si=jdT6Q7kwaZl-IX8a

Huwa nashangaa sana sijui platinum membership uliipataje!
 
Yemen rasmi wametangaza vita na Israel na wamewataka wakazi wote wa Tel Aviv kulihama hilo jiji la mashoga tel aviv, kwa kuwa lipo ndani ya uwezo wao kulibamiza na wameshaonesha hilo nara mbili tatu.

Wameendelea kusema kuwa "hauliwi Myemeni na yeyote yule duniani bila damu yake kulipwa, tupo tayari kupigana mpaka Myemeni wa mwisho kabisa duniani lakini ni lazima damu ya Myemeni ilipwe. Wasiolijuwa hilo, wasome historia.

Wayemeni wamekumbusha, mayahudi walipokosa pakuishi huko zamani, Yemeni ilikuwa nchi ya kwanza kihistoria kuwapokea, kuwapa makazi na kuwaweka huru kama raia mwenginebyeyote yule.

Leo hawa mashetani mazayuni wameleta fitnah kubwa duniani, haivumiliki".

Wanasema wana uwezo wa kubamiza popote ndani ya Israel na wameziweka wazi shabaha (targets) zao zote. Jionee 👇🏾


View: https://youtu.be/AZUhEUCjqYs?si=jdT6Q7kwaZl-IX8a

bandari wameshajenga, manake juzi ilisambaratishwa hadi wakafyata mkia. kitakachofuata sasaivi wahuthi watakuwa kama wagaza.
 
Waislamu mnapitia wakati mgumu sana aisee.

Na mlivyo watupu vichwani, mtaendelea kutandikwa sana mwaka huu.

Takbiiiiiiiir 🤣
Nachokiona hiyo mashariki ya kati inaweza kupigwa yote na Israel kwa mda tofauti
 
Yemen rasmi wametangaza vita na Israel na wamewataka wakazi wote wa Tel Aviv kulihama hilo jiji la mashoga tel aviv, kwa kuwa lipo ndani ya uwezo wao kulibamiza na wameshaonesha hilo nara mbili tatu.

Wameendelea kusema kuwa "hauliwi Myemeni na yeyote yule duniani bila damu yake kulipwa, tupo tayari kupigana mpaka Myemeni wa mwisho kabisa duniani lakini ni lazima damu ya Myemeni ilipwe. Wasiolijuwa hilo, wasome historia.

Wayemeni wamekumbusha, mayahudi walipokosa pakuishi huko zamani, Yemeni ilikuwa nchi ya kwanza kihistoria kuwapokea, kuwapa makazi na kuwaweka huru kama raia mwenginebyeyote yule.

Leo hawa mashetani mazayuni wameleta fitnah kubwa duniani, haivumiliki".

Wanasema wana uwezo wa kubamiza popote ndani ya Israel na wameziweka wazi shabaha (targets) zao zote. Jionee 👇🏾


View: https://youtu.be/AZUhEUCjqYs?si=jdT6Q7kwaZl-IX8a

Tunasubiri wayemen walianzishe, palipoa sana
 
Nachokiona hiyo mashariki ya kati inaweza kupigwa yote na Israel kwa mda tofauti
🤣🤣 Haki ya Mungu kuna vichekesho vingi humu JF. Yaani Israel huyu huyu aipige mashariki ya kati?

Kipigo cha jana kutoka Iran bado kinawauma miilini mwao hawajui washike lipi waache lipi halafu unazungumza kichekesho kama hiki!
 
🤣🤣 Haki ya Mungu kuna vichekesho vingi humu JF. Yaani Israel huyu huyu aipige mashariki ya kati?

Kipigo cha jana kutoka Iran bado kinawauma miilini mwao hawajui washike lipi waache lipi halafu unazungumza kichekesho kama hiki!
Nadhani huijui Israel vizuri
 
Nadhani huijui Israel vizuri
Bado hujaamka usingizini mzee? Achana ma propaganda za mashog,a kwamba Israel ana nguvu za kijeshi kumbe ni wavaa pampas na kuwadekea mabwana zake ili wamsaidie kumlinda.

Achana na stori za wachungaji feki hapo kanisani wanaoweka bendera ya Israel wakiwaaminisha kondoo propaganda za mashog,a.

Dunia ya leo sio ya kudanganywa tena mkuu kila kitu kipo wazi tunajionea mbabe wa kweli hahitaji msaada wa mwingine anashusha vyuma direct hadi Tel Aviv.
 
Hao sio Yemen hao ni wahuthi ,kwa umri wako hujui hata kinachoendelea Yemen hadi leo nchi iliyogawanywa kati ya SUNN na shia , Saudi Arabia iksapoti Sunn na irani shia ambao ndio wahuthi . Shule ulikwenda kusoma ujinga wewe bibi

USSR
Usichojua serikali Ya Yemeni na Houthi wameweka pembeni tafauti zao mkuu na wanamkabili adui kwa pamoja, hii ni baada ya Us n IDF kushambulia majeshi ya serikali ya Yemeni
 
Hao sio Yemen hao ni wahuthi ,kwa umri wako hujui hata kinachoendelea Yemen hadi leo nchi iliyogawanywa kati ya SUNN na shia , Saudi Arabia iksapoti Sunn na irani shia ambao ndio wahuthi . Shule ulikwenda kusoma ujinga wewe bibi

USSR
Mkuu umegonga kwenye mshono.
Kingunge kauliwa na mbwa wake.
 
Back
Top Bottom