Mbona unatuchanganya mkuu maana ya mjaheedina ni nini? Ni wa bunge wa majimbo gani?Mujahideen wengi ndio walipita bila kupingwa
Walipitishwa kuweka usawa [emoji1][emoji1][emoji91][emoji209]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unatuchanganya mkuu maana ya mjaheedina ni nini? Ni wa bunge wa majimbo gani?Mujahideen wengi ndio walipita bila kupingwa
Walipitishwa kuweka usawa [emoji1][emoji1][emoji91][emoji209]
Afghanistan 😄🐼Mbona unatuchanganya mkuu maana ya mjaheedina ni nini? Ni wa bunge wa majimbo gani?
Endeleeni kusoma watu wapo TPA wanapiga kaziEmpty sets replies[emoji23]
Sasa umahama mkuu afaghnistan, kwani ni jimbo la Tz mbona mkuu umeanza kuyumba.Afghanistan [emoji1][emoji209]
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Usomwe hadi Oktoba 2025
Dawa ya mtu aliyeziba masikio ni kumuwekea loud speaker, kazi iendelee
Nimesikia kwamba Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Samiah Sukuhu Hassan hataki kusikia maoni ya wananchi wake juu ya mkataba wenye ukakasi wa ugawaji bure wa Bandari zote za Tanganyika. Sina shaka habari hizi ni za ukweli, maana nimeona video clip, na it seems aunthentic. Sasa hapa kuna maswali...www.jamiiforums.com
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Kwani DP-WORLD wanakuja kuwekeza wapi kama siyo TPA? Au ulikuwa umekariri kama mlivomezeshwaKumbe sio DPW tena!?
Kijana TPA wanabaki kama overall incharge tu kwasasa maeneo yote muhimu wanaendesha wawekezajiSasa wanaopiga kazi ni TPA au ni DPW?
Ni mbunge gani ambaye ni mtaalam wa Mikataba?Huo ni uongo mnaongeza chumvi ili kusambaza sumu kwa raia, wewe usijifanye una akili kuliko wa bunge wote Tanzania na wewe sio mtaalamu wa mikataba.
Wewe mtumishi mwaminifu wa majini, ulitaka kibadilike nini?Hata wakipewa nakala kila kondo, hamna kitakacho badilika hawawezi kumyumbisha Raisi wetu hao waramba misalamba Tanzania ni kubwa kuliko hao idol worshippers.........
Kwani Tanzania ina bunge? Au umaanisha hayo majizi yaliyojazana huko bila ya kupelekwa na wananchi. Mwizi siku zote hubakia mwizi.Huo ni uongo mnaongeza chumvi ili kusambaza sumu kwa raia, wewe usijifanye una akili kuliko wa bunge wote Tanzania na wewe sio mtaalamu wa mikataba.
Wewe uliyachagua hayo majizi yaliyopo Bungeni ambayo hata mahakama imewakataa kuwa siyo wawakilishi wa wananchi?Kwanini uliwachagua kuenda bungeni kama hawana akili, tujifunze kuheshimu viongozi wetu wa kikatiba na tu wapuuze hao chuma ulete.
Kutukana watanzania wenye imani tofauti na yako ni upumbavu uliopitiliza wala hakuwezi kubadilisha ujumbe uliomo kwenye ule waraka wa kisomi, Kimisionari na kinabiiHata wakipewa nakala kila kondo, hamna kitakacho badilika hawawezi kumyumbisha Raisi wetu hao waramba misalamba Tanzania ni kubwa kuliko hao idol worshippers.........
Matusi ni yapi mkuu?Kutukana watanzania wenye imani tofauti na yako ni upumbavu uliopitiliza wala hakuwezi kubadilisha ujumbe uliomo kwenye ule waraka wa kisomi, Kimisionari na kinabii
Eti idol worshippers,,idol worshippers wapo kule macca wanakolizunguka lile jiwe anti clockwise hao ndio idol worshippers.Idol worshippers wamejaa huko kwenye masjid tawaqal wakiabudu majini na mapepo.Hata wakipewa nakala kila kondo, hamna kitakacho badilika hawawezi kumyumbisha Raisi wetu hao waramba misalamba Tanzania ni kubwa kuliko hao idol worshippers.........