Ratiba inaendelea: Waraka wa TEC unasomwa leo kwa mara ya tatu

Mujahideen wengi ndio walipita bila kupingwa

Walipitishwa kuweka usawa [emoji1][emoji1][emoji91][emoji209]
Mbona unatuchanganya mkuu maana ya mjaheedina ni nini? Ni wa bunge wa majimbo gani?
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Huo ni uongo mnaongeza chumvi ili kusambaza sumu kwa raia, wewe usijifanye una akili kuliko wa bunge wote Tanzania na wewe sio mtaalamu wa mikataba.
Ni mbunge gani ambaye ni mtaalam wa Mikataba?
 
Hata wakipewa nakala kila kondo, hamna kitakacho badilika hawawezi kumyumbisha Raisi wetu hao waramba misalamba Tanzania ni kubwa kuliko hao idol worshippers.........
Wewe mtumishi mwaminifu wa majini, ulitaka kibadilike nini?
 
Huo ni uongo mnaongeza chumvi ili kusambaza sumu kwa raia, wewe usijifanye una akili kuliko wa bunge wote Tanzania na wewe sio mtaalamu wa mikataba.
Kwani Tanzania ina bunge? Au umaanisha hayo majizi yaliyojazana huko bila ya kupelekwa na wananchi. Mwizi siku zote hubakia mwizi.
 
Kwanini uliwachagua kuenda bungeni kama hawana akili, tujifunze kuheshimu viongozi wetu wa kikatiba na tu wapuuze hao chuma ulete.
Wewe uliyachagua hayo majizi yaliyopo Bungeni ambayo hata mahakama imewakataa kuwa siyo wawakilishi wa wananchi?
 
Hata wakipewa nakala kila kondo, hamna kitakacho badilika hawawezi kumyumbisha Raisi wetu hao waramba misalamba Tanzania ni kubwa kuliko hao idol worshippers.........
Kutukana watanzania wenye imani tofauti na yako ni upumbavu uliopitiliza wala hakuwezi kubadilisha ujumbe uliomo kwenye ule waraka wa kisomi, Kimisionari na kinabii
 
Kutukana watanzania wenye imani tofauti na yako ni upumbavu uliopitiliza wala hakuwezi kubadilisha ujumbe uliomo kwenye ule waraka wa kisomi, Kimisionari na kinabii
Matusi ni yapi mkuu?
 
Hata wakipewa nakala kila kondo, hamna kitakacho badilika hawawezi kumyumbisha Raisi wetu hao waramba misalamba Tanzania ni kubwa kuliko hao idol worshippers.........
Eti idol worshippers,,idol worshippers wapo kule macca wanakolizunguka lile jiwe anti clockwise hao ndio idol worshippers.Idol worshippers wamejaa huko kwenye masjid tawaqal wakiabudu majini na mapepo.
Waraka umesomwa Leo mara ya tatu
Mpaka kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…