mkuu unaweza siku moja kusaidia kwenye emergency landing uwo uwanja ukaokoa maisha ya watu so investment nzuriUjenzi wa Chato airport tumeingizwa chaka sema ndio hivyo tu watu kwa maana ya viongozi wanaona haya kulisema wazi lakini ukweli pesa imepotea kwa sababu ya ubinafsi wa mtu mmoja.
Uswahili umekutawalaWivuuuu tu
Investment nzuri ni yenye malengo yenye tija.mkuu unaweza siku moja kusaidia kwenye emergency landing uwo uwanja ukaokoa maisha ya watu so investment nzuri
Ni kweli ukiwasikiliza watu wa humu JF unaweza kufikiri Chato ni kijiji na mapori ya wanyama na hakuna watu wengi. Mwaka jana nilifika Chato nikakuta vitu tofauti kabisa na vinavoongelewa humu. Serikali ikifuata vigezo vinavyotumika kupata mkoa Chato ina vigezo vyote na zaidi kwa sasa maana Chato kuna Viwanda, Bandari, miundombinu ya barabara, kiwanja cha ndege, soko la samaki la kimataifa, hospitali ya kanda na pia kwenye wilaya zitakazounda mkoa zina jumla ya watu milioni mbili na zaidi na utakuwa kati ya mikoa yenye watu wengi Tanzania. Mwalimu Nyerere alijenga kiwanda Chato na bandari ya Nyamirembe mwaka 1968. Chato ni eneo muhimu sana kiuchumi hasa ukizingatia kuwa jirani na nchi za Rwanda na Burundi.Mbona ipo siku zote hii route na watu wanakwea mwewe kama kawaida..unawatiliaga maanani watu wa humu wanaopaitaga gbadolite?
Labda baba yako ndio anapakatwa huko Ubelgiji,twende kwa hoja usilazimishe kila mtu amsifie marehemu mumeo.Acha kupakatwa ubelgiji utaziona
Asante ufafanuzi wako kuntu una hoja na ushahidi usiopingika kwa blah blah za humuNi kweli ukiwasikiliza watu wa humu JF unaweza kufikiri Chato ni kijiji na mapori ya wanyama na hakuna watu wengi. Mwaka jana nilifika Chato nikakuta vitu tofauti kabisa na vinavoongelewa humu. Serikali ikifuata vigezo vinavyotumika kupata mkoa Chato ina vigezo vyote na zaidi kwa sasa maana Chato kuna Viwanda, Bandari, miundombinu ya barabara, kiwanja cha ndege, soko la samaki la kimataifa, hospitali ya kanda na pia kwenye wilaya zitakazounda mkoa zina jumla ya watu milioni mbili na zaidi na utakuwa kati ya mikoa yenye watu wengi Tanzania. Mwalimu Nyerere alijenga kiwanda Chato na bandari ya Nyamirembe mwaka 1968. Chato ni eneo muhimu sana kiuchumi hasa ukizingatia kuwa jirani na nchi za Rwanda na Burundi.
Achana naye hajitaambui mtu yupo huko tabora ndani ndani huko atajua nini kinaendelea chatoMkuu ubinafsi unaousema umesaidia baadhi ya maeneo yaliyosahaulika lakini yanafanya kazi zake kwa ukaribu na Dar es salaam. Mfano, Kuna makambi ya wakimbizi matatu pale Kibondo.
Safari ya basi kutoka Dar-Kibondo ni masaa 20 na ni lazima ulale Kahama. Lakini kwa ndege kupitia Chato ni masaa 7 tu. Unaondoka Dar asubuhi, jioni kwenye saa mbili uko location.
Ipo mara mbili kwa wiki wewe ng'ombe wa kizungu!Wanakwenda kuzima mwenge.
Wewe uko Tandale na hujawahi safiri na ndege tangu utoke tumboni mwa mama yako utajua biashara ya ndege wewe!!Chato hakuna biashara yabkupeleka ndege !!! Hizo safari hazina muda zitakufa ila wapumbuvu hawataelewa
Mwezi ni mbali sana, Chato hakuna hata basi linaloishia hapo kwani ni kituo tu hakuna abiria wakutosha kujaza basi kutoka mikoani sembuse Ndege wacheze na akili za wasiojuaHizo safari hazitamaliza hata mwezi kabla ya kuvunjwa.
Wewe hujui kitu unafikiri abiria lazima watoke Chato pekee huo uwanja unahundumia Geita nzima na maeneo yote ya jirani.Mwezi ni mbali sana, Chato hakuna hata basi linaloishia hapo kwani ni kituo tu hakuna abiria wakutosha kujaza basi kutoka mikoani sembuse Ndege wacheze na akili za wasiojua
Mashi gako.Ipo mara mbili kwa wiki wewe ng'ombe wa kizungu!