Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hii picha bro wangu aliibandika ghetto kwake enzi zile za The Source Magazine.ππππππ
Nselekea buchaniMiongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo.
Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku. Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu.
Mimi breakfast yangu naianza hivi.
View attachment 2579313
Makande ya mahindi mabichi, sweet corn π½. Kisha mchana nitakula viazi vitamu vya Kisukuma . Yaani ni mwendo wa kukandamiza ma wanga tu.
View attachment 2579315
Na jioni usiku ndio kizaa zaa, sijui niendeleze tena ulaji wa wanga? Maana msiba mzito sana huu.
Leo nyama imeshuka sana bei.Nselekea buchani
Leo vijana lazima wale maini rosti
Advantage kubwa sana.Leo nyama imeshuka sana bei.
Nialike BBQAdvantage kubwa sana.
Nanunua natia kwa friji ili pasaka nisipange foleni buchani
Unatumia mbuzi Katoliki A.K.A mamba?πNialike BBQ
Nakula vizuri tu, na sina cha Ijumaa Kuu wala niniUnatumia mbuzi Katoliki A.K.A mamba?π
Karibu huku shambani
Basi karibia maeneo yetu.Nakula vizuri tu, na sina cha Ijumaa Kuu wala nini
Jirani nipo getini hapa nifunguli nij nileMiongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo.
Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku. Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu.
Mimi breakfast yangu naianza hivi.
View attachment 2579313
Makande ya mahindi mabichi, sweet corn [emoji535]. Kisha mchana nitakula viazi vitamu vya Kisukuma . Yaani ni mwendo wa kukandamiza ma wanga tu.
View attachment 2579315
Na jioni usiku ndio kizaa zaa, sijui niendeleze tena ulaji wa wanga? Maana msiba mzito sana huu.
ππHaya mambo ya Ijumaa kutokula nyama ni kuipindua Bible juu chini. Yeye alisema chinjeni mwanakondoo tena msimvunje mifupa wakati mnamla
True nayapinga kabisaBasi karibia maeneo yetu.
Nitakuelekea namna ya kufika centre kisha ntakushauri ukamate nzi mmoja mtikiseee kisha muachie, atafuata harufu ya mdudu fuata uelekeo huo utakuta rosted na fried one.
Haya mambo ya Ijumaa kutokula nyama ni kuipindua Bible juu chini. Yeye alisema chinjeni mwanakondoo tena msimvunje mifupa wakati mnamla
Karibuuu
Msabato umekuja kujambia uzi, hapa ni chakula mkuu mambo ya Maria na misalaba ya sabato yanatoka wapiSisi wasabato hatuna huo msongo wa menu
Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Nipo hapahapa mlangoni ndipo ninapofanyia mambozJirani nipo getini hapa nifunguli nij nile