Ratiba yako ya Chakula cha Ijumaa Kuu ikoje?

Ratiba yako ya Chakula cha Ijumaa Kuu ikoje?

Msabato umekuja kujambia uzi, hapa ni chakula mkuu mambo ya Maria na misalaba ya sabato yanatoka wapi
.
Ila wasabato daaah
Wasabato wengi wanadhani kushika Sabato ndio kwenda peponi huku wanazini wengine mashoga wengine wachawi wengine ni wezi nk.
Wao wanaona dhambi ni kutoshika Sabato tu nawaona wajinga wa kiwango cha SGR.
 
Nimepiga mchemsho kuku na mchana naenda kula bundi (kuku) tena.
 
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu

Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs

Ushaambiwa hakuna mkatoliki anayeabudu sanamu, hivi nyie wasabato akili zenu mbona fupi hivyo?
Sanamu na picha kuwepo kanisani haimaanishi zinaabudiwa!
Hakuna mtu anayetubu kwa Padri, kwa nini mnapotosha uhalisia ili muonekane nyie mko sahihi?
Infact wasabato kuna mengi mnayasema na kujifanya mnayajua kuhusu ukatoliki lakini hamna lolote mnalolijua, zaidi ya kuhangaika na jambo moja tu la siku ya sabato!
 
Kutoka 12:8
Watakula nyama yake usiku ule ule, imeokwa motoni, pamoja na mkate usiotiwa chachu; tena pamoja na mboga zenye uchungu.

Kutoka 12:9
Msiile mbichi, wala ya kutokoswa majini, bali imeokwa motoni; kichwa chake pamoja na miguu yake, na nyama zake za ndani.

Kutoka 12:10
Wala msisaze kitu chake cho chote hata asubuhi, bali kitu kitakachosalia hata asubuhi mtakichoma kwa moto.

Kutoka 12:11
Tena mtamla hivi; mtakuwa mmefungwa viuno vyenu, mmevaa viatu vyenu miguuni, na fimbo zenu mikononi mwenu; nanyi mtamla kwa haraka; ni pasaka ya BWANA.


Kutoka 12:21
Hapo ndipo Musa akawaita wazee wa Israeli, na kuwaambia, Nendeni, mkajitwalie wana-kondoo kama jamaa zenu zilivyo mkamchinje pasaka.

Ijumaa kuu ni pasaka?
 
Asubuhi supu ya ng'ombe na chapati
Mchana ugali na nyama ya mbuzi choma
Usiku chips na mishkaki ya mkia wa kondoo
 
Fuata imani yako ndugu maana moyo wako ulipo ndipo imani yako ilipo,siyo kila mtu anaamriwa kutokula nyama ni yule anayeheshimu na kuzitii amri za Kanisa Katoliki tu.

Key words "anayeheshimu na kuzitii amri za Kanisa Katoliki tu",tembea na hii line kisha endelea ku-enjoy ndizi zako binadamu wote tupo huru na tuna utashi huna haja ya kuanza kuhofia kitu.
Aaah basi kumbe mimi hainihusu, asante dear
 
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu

Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Hujui
 
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu

Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Hujui kitu kuhusu wakatoliki wew
 
Miongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo.
Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku.

Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu.

Mimi breakfast yangu naianza hivi.

View attachment 2579313

Makande ya mahindi mabichi, sweet corn 🌽. Kisha mchana nitakula viazi vitamu vya Kisukuma . Yaani ni mwendo wa kukandamiza ma wanga tu.

View attachment 2579315

Na jioni usiku ndio kizaa zaa, sijui niendeleze tena ulaji wa wanga? Maana msiba mzito sana huu.
Konyagi wine na BBQ
 
Nimepiga mchemsho kuku na mchana naenda kula bundi (kuku) tena.
Tualikane mkuu watu mara ya mwisho kula kuku ilikuwa 2020 tena sina uhskiks kama ni huo mwaka😁
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu

Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Umeshikiliwa ukaambiwa ufwate hiyo amri?
 
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu

Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Sasa hii ya Wakatoliki wewe inakutesa nini
 
Back
Top Bottom