Ratiba yako ya Chakula cha Ijumaa Kuu ikoje?

Ratiba yako ya Chakula cha Ijumaa Kuu ikoje?

Falao alipokuwa anajiita mungu na watu wake wanamuita mungu,siku moja Maraika jabrir au Gabrieli,alimtokea kwa umbo la binadamu,alipofika akagonga mlango,Falao akauliza nani unayegonga mlango?jibrir akauliza yaani wewe mungu unashindwa kujua anayegonga mlango?wakati Mungu anajua mpaka tunayowaza moyoni mwetu
Hizo hadithi umezitoa wapi?
 
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu

Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Wasabato hua wako vzr kwny kuliponda kanisa katoliki,story zao new world order na kujiona wao ndio wanaoijua biblia kweli kweli.

Ila suala linaloitwa uzinzi kwao hua sio dhambi sana.Maana wasabato kuanzia wachungaji mpk waumini kwny uzinzi na kuzaa nje ya ndoa hakuna anaewafikia na wala hua hawaliongelei Hilo.

Mfano mzuri wa muda wanaoutumia kupiga uzinzi Wao hua Ni wakienda kwny kitu wanakiita ,'makambi',Kule Ni kazi tu.
 
Hizo hadithi umezitoa wapi?
Soma bwana ndugu yangu,Dunia ni kubwa na elimu ya Dini ya Mwenyezi Mungu ni kubwa,wako waliokuzidi zaidi yako na wako walionizidi zaidi yangu,Usibweteka kukaa sehemu moja ukajua umemaliza mambo ya Mungu
 
Soma bwana ndugu yangu,Dunia ni kubwa na elimu ya Dini ya Mwenyezi Mungu ni kubwa wako waliokuzidi zaidi yako na wako walionizidi zaidi yangu,Usibweteka kukaa sehemu moja ukajua umemaliza mambo ya Mungu
Kwa hiyo nisomesome tu kila kitu?Ungeweka ushahidi wa hizo hekaya zako zisomwe.Au ni siri yako?
 
Hivi kwani ni kweli ijuma kuu haturuhusiwi kula nyama? Yaani mimi hapa nishamenya ndizi na nyama nimebandika jiolkoni sasa itakuaje
Fuata imani yako ndugu maana moyo wako ulipo ndipo imani yako ilipo,siyo kila mtu anaamriwa kutokula nyama ni yule anayeheshimu na kuzitii amri za Kanisa Katoliki tu.

Key words "anayeheshimu na kuzitii amri za Kanisa Katoliki tu",tembea na hii line kisha endelea ku-enjoy ndizi zako binadamu wote tupo huru na tuna utashi huna haja ya kuanza kuhofia kitu.
 
Kwa hiyo nisomesome tu kila kitu?Ungeweka ushahidi wa hizo hekaya zako zisomwe.Au ni siri yako?
Pole sana,siyo kila kitu kiliandikwa kwenye vitabu vya Dini mfano Quruani,kwani tungeshindwa kubeba,vilivyoandikwa na vitu muhimu tu,Vingine kama hadithi vikabaki kwenye vitabu vya hadithi,

Labda nikuulize,unalijua jina la Farao?
 
Pole sana,siyo kila kitu kiliandikwa kwenye vitabu vya Dini mfano Quruani,kwani tungeshindwa kubeba,vilivyoandikwa na vitu muhimu tu,Vingine kama hadithi vikabaki kwenye vitabu vya hadithi,

Labda nikuulize,unalijua jina la Farao?
Huna jibu sahihi.Ujanjaujanja mwingi.
 
Mwendesha mashtaka wa Mungu naona upo kazini!

Yaani unavuta pumzi hii hii ya offer waliopewa unaowaita wana dhambi lakini unahukumu wengine?who are you mzee,u mtakatifu wewe?
Huwa mambo yao hayasikilizwi wala kufuatiliwa hadi wawe wanamtaja Papa na Ukatoliki.Zaidi ya hayo nani atapoteza muda kuwasikiliza?
 
Wali
Miongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo.
Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku.

Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu.

Mimi breakfast yangu naianza hivi.

View attachment 2579313

Makande ya mahindi mabichi, sweet corn 🌽. Kisha mchana nitakula viazi vitamu vya Kisukuma . Yaani ni mwendo wa kukandamiza ma wanga tu.

View attachment 2579315

Na jioni usiku ndio kizaa zaa, sijui niendeleze tena ulaji wa wanga? Maana msiba mzito sana huu.
Maharage na wali tosha kbsa kwa Leo asbuh nimeiga chapati mbili na chai
 
Umaskini ndio tatizo siyo swala la ijumaa kuu.

Kwani mnakatazwa kula Samaki? Sato, Sangara, changu, kolekole, tasi, Jodari, Prawns and likes?

Bado kuna Dagaa wa Kigoma very nice one.
Bado hzo Ni vyakula vya nyamanyama kuacha kula nyama leo hatutakufa mm hata hao daga naogopa kuweka mdomoni
 
Back
Top Bottom