Ratiba yako ya Chakula cha Ijumaa Kuu ikoje?

Ratiba yako ya Chakula cha Ijumaa Kuu ikoje?

Miongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo.
Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku. Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu.

Mimi breakfast yangu naianza hivi.

View attachment 2579313

Makande ya mahindi mabichi, sweet corn 🌽. Kisha mchana nitakula viazi vitamu vya Kisukuma . Yaani ni mwendo wa kukandamiza ma wanga tu.

View attachment 2579315

Na jioni usiku ndio kizaa zaa, sijui niendeleze tena ulaji wa wanga? Maana msiba mzito sana huu.
Hivi kwa nini watu huwa wanaacha kufwata Amri za Mungu,halafu ni rahisi kufywata za binadamu mwenzao?Aliyezariwa kupitia muunganiko wa tupu mbili, ya kike na ya kiume tena zinazopitisha uchafu,tukaacha kufata amri ya Mwenyezi Mungu aliyetakasika.

Kweli tunaitaji adhabu kali mbele ya Mungu
 
Hivi kwa nini watu huwa wanaacha kufwata Amri za Mungu,halafu ni rahisi kufywata za binadamu mwenzao?Aliyezariwa kupitia muunganiko wa tupu mbili, ya kike na ya kiume tena zinazopitisha uchafu,tukaacha kufata amri ya Mwenyezi Mungu aliyetakasika.

Kweli tunaitaji adhabu kali mbele ya Mungu
Umeona ehhh.
 
Hivi kwa nini watu huwa wanaacha kufwata Amri za Mungu,halafu ni rahisi kufywata za binadamu mwenzao?Aliyezariwa kupitia muunganiko wa tupu mbili, ya kike na ya kiume tena zinazopitisha uchafu,tukaacha kufata amri ya Mwenyezi Mungu aliyetakasika.

Kweli tunaitaji adhabu kali mbele ya Mungu
Kutokula nyama ijumaa tuwekee maandiko basi ili niache uchu wa kitimoto
 
Umeona ehhh.
Falao alipokuwa anajiita mungu na watu wake wanamuita mungu,siku moja Maraika jabrir au Gabrieli,alimtokea kwa umbo la binadamu,alipofika akagonga mlango,Falao akauliza nani unayegonga mlango?jibrir akauliza yaani wewe mungu unashindwa kujua anayegonga mlango?wakati Mungu anajua mpaka tunayowaza moyoni mwetu
 
Miongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo.
Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku. Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu.

Mimi breakfast yangu naianza hivi.

View attachment 2579313

Makande ya mahindi mabichi, sweet corn 🌽. Kisha mchana nitakula viazi vitamu vya Kisukuma . Yaani ni mwendo wa kukandamiza ma wanga tu.

View attachment 2579315

Na jioni usiku ndio kizaa zaa, sijui niendeleze tena ulaji wa wanga? Maana msiba mzito sana huu.
Umaskini ndio tatizo siyo swala la ijumaa kuu.

Kwani mnakatazwa kula Samaki? Sato, Sangara, changu, kolekole, tasi, Jodari, Prawns and likes?

Bado kuna Dagaa wa Kigoma very nice one.
 
Kweli elimu yako kiimani ni ndogo,wewe ndiye ilibidi unipe kifungu kinachowakataza kula nyama leo
Kutoka 12:8
Watakula nyama yake usiku ule ule, imeokwa motoni, pamoja na mkate usiotiwa chachu; tena pamoja na mboga zenye uchungu.

Kutoka 12:9
Msiile mbichi, wala ya kutokoswa majini, bali imeokwa motoni; kichwa chake pamoja na miguu yake, na nyama zake za ndani.

Kutoka 12:10
Wala msisaze kitu chake cho chote hata asubuhi, bali kitu kitakachosalia hata asubuhi mtakichoma kwa moto.

Kutoka 12:11
Tena mtamla hivi; mtakuwa mmefungwa viuno vyenu, mmevaa viatu vyenu miguuni, na fimbo zenu mikononi mwenu; nanyi mtamla kwa haraka; ni pasaka ya BWANA.


Kutoka 12:21
Hapo ndipo Musa akawaita wazee wa Israeli, na kuwaambia, Nendeni, mkajitwalie wana-kondoo kama jamaa zenu zilivyo mkamchinje pasaka.
 
Kutoka 12:8
Watakula nyama yake usiku ule ule, imeokwa motoni, pamoja na mkate usiotiwa chachu; tena pamoja na mboga zenye uchungu.

Kutoka 12:9
Msiile mbichi, wala ya kutokoswa majini, bali imeokwa motoni; kichwa chake pamoja na miguu yake, na nyama zake za ndani.

Kutoka 12:10
Wala msisaze kitu chake cho chote hata asubuhi, bali kitu kitakachosalia hata asubuhi mtakichoma kwa moto.

Kutoka 12:11
Tena mtamla hivi; mtakuwa mmefungwa viuno vyenu, mmevaa viatu vyenu miguuni, na fimbo zenu mikononi mwenu; nanyi mtamla kwa haraka; ni pasaka ya BWANA.


Kutoka 12:21
Hapo ndipo Musa akawaita wazee wa Israeli, na kuwaambia, Nendeni, mkajitwalie wana-kondoo kama jamaa zenu zilivyo mkamchinje pasaka.
Kwa hiyo ndiyo inaingiliana na ijumaa kuu?
 
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu

Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Umeulizwa swali dogo tu.Kama unakula au hauli.Hayo mengine endelea nayo tu.
 
.
IMG_20230312_114124.jpg
 
Nimeanza na supu ya mbuzi...

Nasubiri salala chomaa hapaa iive huku nikipiga serengeti lager za baridi sana.
Karibu kingachi
 
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu

Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Kwani wasabato wana pasaka😀😀....ninavyojua wasabato hawasherehekei krismasi wala pasaka kama madhehebu mengine ya wakristo
 
Back
Top Bottom