Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi leo ni siku ya kuchinja mnyama na kumla kwa haraka kama torati inavyoagizaHaha hah hebu ngoja tuulize menu za matajiri. Tajiri abubackry , Tajiri Kichwa , TAJIRI MKUU WA MATAJIRI, Tajiri la Bitcoin , tajiri Tajiri mkopeshaji , Tajiri mpole hebu njooni huku fasta
Na kawala kweli enzi zile. Si unajua tena nyumba za Oysterbay, servant quarter alikuwa anakaa yeye, katengeneza na backyard gate anawapitishia huko.Hahahah nimekuelewa
Bro alijiona yupomo,
Kama yule anavyojisema amekulamo kivile
Mtumwa, nipe kifungu chochote kinachokataza kula nyama ijumaa kuu.Bado hzo Ni vyakula vya nyamanyama kuacha kula nyama leo hatutakufa mm hata hao daga naogopa kuweka mdomoni
Wewe ni Myahudi?Mimi leo ni siku ya kuchinja mnyama na kumla kwa haraka kama torati inavyoagiza
Ndivyo maandiko yasemavyoWewe ni Myahudi?
Chapati moja na maji ya moto
mchana ugali maziwa mtindi
jioni desh
Hii ni Kwaresma.