Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Wasabato wengi wanadhani kushika Sabato ndio kwenda peponi huku wanazini wengine mashoga wengine wachawi wengine ni wezi nk.Msabato umekuja kujambia uzi, hapa ni chakula mkuu mambo ya Maria na misalaba ya sabato yanatoka wapi
.
Ila wasabato daaah
Mi mtoto wa kike unataka nile chapati nane na supu ya ngombe na mtindi ahhh hayo siyawezi
Sorry kumbe wewe ni KE hakuna shida hutumii nguvu kama sisi ME wenye kende mbili.Ndio naweza
Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu
Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Karibu[emoji3][emoji3] nialike basi na Mimi nile japo uweke na ugali pembeni
Kutoka 12:8
Watakula nyama yake usiku ule ule, imeokwa motoni, pamoja na mkate usiotiwa chachu; tena pamoja na mboga zenye uchungu.
Kutoka 12:9
Msiile mbichi, wala ya kutokoswa majini, bali imeokwa motoni; kichwa chake pamoja na miguu yake, na nyama zake za ndani.
Kutoka 12:10
Wala msisaze kitu chake cho chote hata asubuhi, bali kitu kitakachosalia hata asubuhi mtakichoma kwa moto.
Kutoka 12:11
Tena mtamla hivi; mtakuwa mmefungwa viuno vyenu, mmevaa viatu vyenu miguuni, na fimbo zenu mikononi mwenu; nanyi mtamla kwa haraka; ni pasaka ya BWANA.
Kutoka 12:21
Hapo ndipo Musa akawaita wazee wa Israeli, na kuwaambia, Nendeni, mkajitwalie wana-kondoo kama jamaa zenu zilivyo mkamchinje pasaka.
Aaah basi kumbe mimi hainihusu, asante dearFuata imani yako ndugu maana moyo wako ulipo ndipo imani yako ilipo,siyo kila mtu anaamriwa kutokula nyama ni yule anayeheshimu na kuzitii amri za Kanisa Katoliki tu.
Key words "anayeheshimu na kuzitii amri za Kanisa Katoliki tu",tembea na hii line kisha endelea ku-enjoy ndizi zako binadamu wote tupo huru na tuna utashi huna haja ya kuanza kuhofia kitu.
Nimeona hiyo berekifasti, huku kwetu hivyo huwa tunaviona mlimani site na migahawani tuYes, niko Regent Estate Chato Street
HujuiSisi wasabato hatuna huo msongo wa menu
Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Hujui kitu kuhusu wakatoliki wewSisi wasabato hatuna huo msongo wa menu
Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Hahahah nimekuelewaHii picha bro wangu aliibandika ghetto kwake enzi zile za The Source Magazine.
View attachment 2579327
Konyagi wine na BBQMiongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo.
Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku.
Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu.
Mimi breakfast yangu naianza hivi.
View attachment 2579313
Makande ya mahindi mabichi, sweet corn 🌽. Kisha mchana nitakula viazi vitamu vya Kisukuma . Yaani ni mwendo wa kukandamiza ma wanga tu.
View attachment 2579315
Na jioni usiku ndio kizaa zaa, sijui niendeleze tena ulaji wa wanga? Maana msiba mzito sana huu.
Tualikane mkuu watu mara ya mwisho kula kuku ilikuwa 2020 tena sina uhskiks kama ni huo mwaka😁Nimepiga mchemsho kuku na mchana naenda kula bundi (kuku) tena.
Maziwa ni nyama piaChapati moja na maji ya moto
mchana ugali maziwa mtindi
jioni desh
Hii ni Kwaresma.
Umeshikiliwa ukaambiwa ufwate hiyo amri?Sisi wasabato hatuna huo msongo wa menu
Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs
Huwa wanawashwaMsabato umekuja kujambia uzi, hapa ni chakula mkuu mambo ya Maria na misalaba ya sabato yanatoka wapi
.
Ila wasabato daaah
Sasa hii ya Wakatoliki wewe inakutesa niniSisi wasabato hatuna huo msongo wa menu
Hapa ndiyo unapowashangaa wakatoliki fundisho la wanadamu la kutokula nyama eti wanakumbuka mateso ya Yesu wanalishika kweli lakini mafundisho ya biblia neno la Mungu wanayakataa waambie hbr ya Sabato, kutokuabudu sanamu, kuomba kwa Maria, kutubu kwa mapadri hakuelewi kbs