SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Mimi huwa napenda kuobserve sana mambo, kwa hiyo mtanisamehe nikiwa naleta hoja ninazoitaga "hoja fukunyuku".
Mechi ya kwanza lazima wangetaka iwepo Al Alhy au Wydad.
Nimeedit huu uzi baada ya kurudi tena kuiangalia video ya draw baada tu ya kufungua huu uzi. Kuna vitu kadhaa nimeviona, angalia post #5 hapo chini.
Mechi ya kwanza lazima wangetaka iwepo Al Alhy au Wydad.
Nimeedit huu uzi baada ya kurudi tena kuiangalia video ya draw baada tu ya kufungua huu uzi. Kuna vitu kadhaa nimeviona, angalia post #5 hapo chini.