Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hao na Simba ndio ngazi za kupandia kwenda nusu fainali.Mimi nimefurahi kuwaona Enyimba kwenye supercup...nimewamiss sana hawa wababe wa zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao na Simba ndio ngazi za kupandia kwenda nusu fainali.Mimi nimefurahi kuwaona Enyimba kwenye supercup...nimewamiss sana hawa wababe wa zamani
Wanigeria si watu wa kuwaamini sana wanaweza kuleta vitu vya ajabu hautaamini macho yako. TP Mazembe ndiyo wanaweza kusumbua.
Nasema hivyo kwa sababu timu zote zimepewa pesa ya kutosha kufanya usajili na maandalizi ila naamini TP Mazembe ndiyo watakuwa wamefanya usajili na maandalizi ya kweli kuliko hao wanaigeria. Ngoja utasikia na kuona mashindano yatakapoanza.Enyimba tajiri wao alifariki.. toka hapo haina hela za kusajili wababe.. wanaishi kwa michango ya wanachama tu.
Super cup wamealikwa sababu Enyimba ni Brand na ndio timu yenye mafanikio kuliko zote west africa.
Ni kama TP Mazembe tu. Nao timu yao mbovu ili wamealikwa super cup sababu ni Brand
Enyimba kwenye klabu bingwa tayari wameshatolewa round ya kwanza mapema tu.Wanigeria si watu wa kuwaamini sana wanaweza kuleta vitu vya ajabu hautaamini macho yako. TP Mazembe ndiyo wanaweza kusumbua.
Si unaona ninachosema sasa. Sijawahi kuwaona Wanigeria wakiwa serious hata timu yao ya taifa, wana mapuuza mengiEnyimba kwenye klabu bingwa tayari wameshatolewa round ya kwanza mapema tu.
Sijui labda uwepo wa KANU kama utaleta hamasa.
Kama ndio hivi kuna haja gani ya kucheza una rahisisha sana mambo!Namuamini sana Robertinho, mzee wa objective football. Ngojeni muone mpira wa kikubwa unavyopigwa.
Tunampiga Al Ahly halafu nusu fainali tunampiga Mamelodi (hii itakuwa classic) halafu fainali tunaenda kulipiza kisasi kwa Wydad ingawa nina wasiwasi TP Mazembe anaweza kushangaza pia kwenye mashindano haya kwa kufika fainali.
Tulia wakubwa tujadili...Si mnaimba kila siku nyinyi ni wakubwa? haya kuleni chuma hicho.
Vipi nyuma mwiko wao watacheza mechi ngapi?Ina maana mnyama anacbeza mechi mbili tu bihashara yake kwishaaa! Mimi sijapenda hata kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na brand inapatikana vipi?Mbona Ihefu na nyuma mwiko wana struggle sana kuwa brand.Tupe siri ya kuwa brand!!!Ni kwa kelele tu za wachambuzi na maafisa habari?Enyimba tajiri wao alifariki.. toka hapo haina hela za kusajili wachezaji wazuri.. wanaishi kwa michango ya wanachama tu.
Super cup wamealikwa sababu Enyimba ni Brand na ndio timu yenye mafanikio kuliko zote west africa.
Ni kama TP Mazembe tu. Nao timu yao mbovu ili wamealikwa super cup sababu ni Brand
Ahaaa!Aahaaaa,wanataka ukubwa na msuri hawana
Shida ipo hapoMo Xtra. Nimepiga ka chupa nne nafikiria kutafuta papuchi ya kuichakata kupunguza hii extra energy
AahaaaaHao na Simba ndio ngazi za kupandia kwenda nusu fainali.
Wameangalia zile mechi ambazo timu zikikutana zinakua na upinzani nje na ndani ya uwanja...na kuwapa Simba mechi na al alhy ktk ufunguzi ni namna hivi vilabu vilivyona mashabiki wengi ktk social media na ndio maana utaona hata caf watapost zaidi mechi ya simba na al ahly ktk kupromot mashindanoMimi huwa napenda kuobserve sana mambo, kwa hiyo mtanisamehe nikiwa naleta hoja ninazoitaga "hoja fukunyuku".
Mechi ya kwanza lazima wangetaka iwepo Al Alhy au Wydad.
Nimeedit huu uzi baada ya kurudi tena kuiangalia video ya draw baada tu ya kufungua huu uzi. Kuna vitu kadhaa nimeviona, angalia post #5 hapo chini.
Simba awe na upinzani na Al Ahaly vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi?😀😀Wameangalia zile mechi ambazo timu zikikutana zinakua na upinzani nje na ndani ya uwanja...na kuwapa Simba mechi na al alhy ktk ufunguzi ni namna hivi vilabu vilivyona mashabiki wengi ktk social media na ndio maana utaona hata caf watapost zaidi mechi ya simba na al ahly ktk kupromot mashindano
Tp mazembe vs Esperanca ( hawa wapinzani haswa wakikutanaga )
Mamelod vs Luanda ( hawa nao kila wanapokutana mamelodi anakufa )
Simba sc vs al alhy ( hawa ni wapinzani ktk afrika )
Kwa mechi walizokutana katika kipindi cha miaka 5, 2018-2023 wameonesha upinzani na mechi zao kuwa na ushindaniSimba awe na upinzani na Al Ahaly vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi?😀😀
Hebu acha kuwa mtoto hapo kibonde anajulikana upinzani wakufungwq gori 5-0?.Kwa mechi walizokutana katika kipindi cha miaka 5, 2018-2023 wameonesha upinzani na mechi zao kuwa na ushindani