Tetesi: Ray C akimbizwa Muhimbili

Alaaniwe aliyesababisha huyu dada akaanza kutumia hayo madude.
Mh ukishaingia hujijui ni sawa na kumwambia mtu asinywe kili au serengeti yaleyale tofauti wa kili anafika nyumbani anajitambua huyu wa sembe mhu ikiisha kichwani ataiba hata tail la gari la abiria ili auze apate mhogo.
 
Jamani nn tena Dada ray c kinachomsumbua ?naombeni jibu jumapili iliyopita nilimwona mwananyamala na tukapiga story fresh yuko poa tunacheka nn kimemsibu tena
 
Mh ukishaingia hujijui ni sawa na kumwambia mtu asinywe kili au serengeti yaleyale tofauti wa kili anafika nyumbani anajitambua huyu wa sembe mhu ikiisha kichwani ataiba hata tail la gari la abiria ili auze apate mhogo.
Inasikitisha sana tunawapoteza vijana kwa haya madude.
 
madawa bado yapo kwenye damu yani kama ikiwezekana atoe damu aweke nyengine aisee ile kitu ya alosto bado inamuandama na hiv ameacha kunywa methadone ndo kabisaaaa . ndugu zangu msijaribu hata kutest pafu moja coz hutaacha kurudia sababu ya utamu wake
 
Hakawii kusema Shigongo huyu...
na hili ndo lina nifanya nisimwonee huruma...anapoambiwa anapotea anajifanya mjuaji na kutishia watu!mficha maradhi kilio humuumbua...simhurumii hata kidogo
 
Jk alimsaidiA sasa yy badala ya kujiratahid kaenda kutafuta mabwana mateja..... Haina haja ya kumihurumia
 
Ni kweli, na pia mtumiaji wa madawa ya kulevya anakuwa katika hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa muda wowote, iwe kwa hiari yake au kulazimishwa..

Pole kwake Ray C na M / Mungu ampe tumaini jipya.
 
Duuu walaaniwe wote waingizao madawa haya kwa jina la Yesu...I REMEMBER AMINA CHIFUPA..R.I.P
Wanaoingiza dawa wanatafuta pesa kwa sababu wanafahamu kuna maf'ala wenye akili zao timamu watatoa pesa walizotafuta kwa jasho lao huku wakifahamu fika kwamba wanajiua! Kwahiyo acheni drug dealers watengeneze pesa kupitia migongo wa wapumbavu!

Hivi wewe umekutana na demu akakuthibitishia kwamba ana ngoma! Pamoja na yote hayo ukang'ang'ania tunda lake na ulipopewa ukaenda kavu kavu na mka-share kaugonjwa!! Bado hapo utataka uhurumiwe wewe na dada wa watu ndie alaaniwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…