Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh ukishaingia hujijui ni sawa na kumwambia mtu asinywe kili au serengeti yaleyale tofauti wa kili anafika nyumbani anajitambua huyu wa sembe mhu ikiisha kichwani ataiba hata tail la gari la abiria ili auze apate mhogo.Alaaniwe aliyesababisha huyu dada akaanza kutumia hayo madude.
Inasikitisha sana tunawapoteza vijana kwa haya madude.Mh ukishaingia hujijui ni sawa na kumwambia mtu asinywe kili au serengeti yaleyale tofauti wa kili anafika nyumbani anajitambua huyu wa sembe mhu ikiisha kichwani ataiba hata tail la gari la abiria ili auze apate mhogo.
na hili ndo lina nifanya nisimwonee huruma...anapoambiwa anapotea anajifanya mjuaji na kutishia watu!mficha maradhi kilio humuumbua...simhurumii hata kidogoHakawii kusema Shigongo huyu...
Wangapi wameombewa wakapona?Tumuombee msanii wetu apone
noma sana.R.I.P msanii wa enzi hizo!
Jk alimsaidiA sasa yy badala ya kujiratahid kaenda kutafuta mabwana mateja..... Haina haja ya kumihurumiaHuyu dada anahitaji kusaidiwa; kumlaumu kuwa alijichagulia haya maisha sio sahihi (unless tuna ushahidi wa tunayoyasema). watu wengi hapoa tanzania na kwignineko wanaingia kwenye madawa ya kulevya kwa kudanganywa kama vile kuchanganyiwa katika sigara, vinywaji nk. Ifahamike kuwa mtu akitumia madawa ya kulevya kwa siku tano hadi wiki tu! inatosha kumfanya huyu mtu awe addicted (mteja). Madawa ya kulevya (Cocaine, Heroine) yana physiological dependency, yaani mtu anapoacha kuyatumia anapata mabadiliko ya kimwili (ki-fiziolojia) kama vile, kuharisha, kusikia baridi, kutokwa makamasi, kuona maluweluwe na kuota ndoto za kutisha-hali hii wenyewe ndio huiita ''arosto''. Tusiwanyanyapae hawa watu sio wote waliamua kwa hiari yao, wakiwa wanafahamu possible consequence za haya ''makitu''.
Ni kweli, na pia mtumiaji wa madawa ya kulevya anakuwa katika hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa muda wowote, iwe kwa hiari yake au kulazimishwa..Nani kakudanganya?
Mimi nimewahi kuwa na ukaribu na mateja fulani.
Maana mimi napenda sana kudadisi,waliniambia mengi sana ambayo ningeambiwa na watu tofauti nao (mateja) nisingeamini.
Hayo mambo wanayafanya sana tu,pole zako kama unadhani nao 'hawaponi'.
Wanaoingiza dawa wanatafuta pesa kwa sababu wanafahamu kuna maf'ala wenye akili zao timamu watatoa pesa walizotafuta kwa jasho lao huku wakifahamu fika kwamba wanajiua! Kwahiyo acheni drug dealers watengeneze pesa kupitia migongo wa wapumbavu!Duuu walaaniwe wote waingizao madawa haya kwa jina la Yesu...I REMEMBER AMINA CHIFUPA..R.I.P
fanya experiment mkuuHivi Unga unakuaje hadi mtu anashindwa kuacha. Nimetumia vilevi vyote ila hii kitu hii ndo kabisa wala sikujaribu.
Lord eyezAlaaniwe aliyesababisha huyu dada akaanza kutumia hayo madude.