Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Unataka rais amsaidie kila mtu?
"
Kama hapana unataka watu wa aina gani?
"
Kama unatoa mfano wa Wamarekani,unadhani wao ndo wapo sahihi zaidi?
"
Kama ndio kwa viwango gani?
"
Unajua kikwete amemsaidia Ray C kama rais au kama Jakaya Kikwete?
"
Unajua maana ya msaada?

Eiyer, hapa hakuna cha kuchangia, maswali yako yamekuwa ya kitoto mno, hebu rudia kuyasoma utagundua. samahani lakini.
 
Last edited by a moderator:
- Ulitakiwa kuwa na facts kwanza ni kwa nini JK amemsaidia Ray C kabla hujakurupuka na hukumu za kimitaani taani, JK ni binadam ana marafiki ana ndugu, Marahemu Baba Mkubwa wa Ray C amefanya kazi na JK mambo ya nje kwa muda mrefu sana kabla ya kufariki miaka michache iliypoita,sasa kwa nini JK asimsaidie mtoto wa Rafiki yake wa karibu aliyefanya kazi naye ka muda mrefu sana!

- Sometimes mnakuwa kama watoto wadogo flani hivi, sio kila ishu ni lazima museme ndio muonekane ni upinzani wa kweli, daaaamn!!

Es!

Urafiki wao ndio akatoe msaada wa teja kupitia Ikulu? angetoa kimya kimya huko huko mtaani bwana na sio kukaribisha mateja pale magogoni eti baba yake alikuwa rafiki
 
Mie nahisi Rais alikuwa sawa kusaidia kama mwana jamii ila haikutakiwa iwe publicized, kwa sababu ulizotoa hapo juu.

Nahisi kuna mapungufu sana idara ya mawasiliano Ikulu au washauri wake au yeye mwenyewe. Sijui ni wapi mapungufu yapo ila naona kama yapo.

Isije ikawa ni deal ya waleeeeee jamaaa wa pale Kinondoni waliopewa vyombo wameenda tena kuchota kwa kumtumia Ray C. Bongo kila kitu kinawezekana
 
- Ulitakiwa kuwa na facts kwanza ni kwa nini JK amemsaidia Ray C kabla hujakurupuka na hukumu za kimitaani taani, JK ni binadam ana marafiki ana ndugu, Marahemu Baba Mkubwa wa Ray C amefanya kazi na JK mambo ya nje kwa muda mrefu sana kabla ya kufariki miaka michache iliypoita, sasa kwa nini JK asimsaidie mtoto wa Rafiki yake wa karibu aliyefanya kazi naye ka muda mrefu sana!

- Sometimes mnakuwa kama watoto wadogo flani hivi, sio kila ishu ni lazima museme ndio muonekane ni upinzani wa kweli, daaaamn!!

Es!

Kama ni mambo ya familia na urafiki kwanini Magazeti na mapicha tena ikulu? Na wewe ukisaidia mtoto wa rafiki yako utaita media?
 
So ts true Baba,Mama,Marafiki na Watoto?!sisi tusio na urafiki/baba zetu hawajafanya na JK tukafilie mbali?
Na kama hakutaka tuijadili picha na vyombo vya habar vyann?kwan issue ngap anafanyia ndan kifamilia na hamsikii mtu akisema?

- So what JK ni binadam ana marafiki na ndugu, kama sio rafiki a baba yako so what ni makosa ya siasa? Childish tafutenu facts kwanza JK ametumia hela zake za mfukoni kumsaidia au ametumia za Serikali, ndio maana ninasema Chadema mna kazi sana kutafuta hoja maana so far hamna, CCM mpya imewaondolea hoja zote sasa mmo kwenye Ray c! ha! ha! kama sio kufilisika kisiasa sijui ni nini!

Es
 
Nape eti kesho FMEs akimsaidia mwanao ataita media! Tena hii ya juzi ikulu ilitoa taarifa! Maana yake Ray C amesaidiwa na ikulu kama taasisi!
 
mada kali sana, liwe tu ni fundisho kwa wasanii wengine wanaotumia isije kuwa kichocheo watu wakaongeza dozi ili wakapige picha na Mkulu
 
- Ulitakiwa kuwa
na facts kwanza ni kwa nini JK amemsaidia Ray C kabla hujakurupuka na
hukumu za kimitaani taani, JK ni binadam ana marafiki ana ndugu,
Marahemu Baba Mkubwa wa Ray C amefanya kazi na JK mambo ya nje kwa muda
mrefu sana kabla ya kufariki miaka michache iliypoita, sasa kwa nini JK
asimsaidie mtoto wa Rafiki yake wa karibu aliyefanya kazi naye ka muda
mrefu sana!

- Sometimes mnakuwa kama watoto wadogo flani hivi, sio kila ishu ni
lazima museme ndio muonekane ni upinzani wa kweli, daaaamn!!

Es!

Acha upuuzi ww , kwahiyo ndg wa aliofanyanao kazi wote ndo wakusaidiwa hata kama maabuser?
 
Kama ni mambo ya familia na urafiki kwanini Magazeti na mapicha tena ikulu? Na wewe ukisaidia mtoto wa rafiki yako utaita media?

- tunaona kipa imara kwenye media itakwua Rais kumsaidia mtoto wa Rafiki yake, swali ni kama ametumia hela za serikali au za kwake binafsi kitu ambacho hamjui so ni bora kunyamaza!!

Es
 
Acha upuuzi ww , kwahiyo ndg wa aliofanyanao kazi wote ndo wakusaidiwa hata kama maabuser?

- Kama Mengi anavyosaidia wengi, so is JK ni binadam ana marafiki na ndugu, kwenye hili swali lilitakiwa kuwa je JK ametumia hela za serikali au za kwake sio kwa nini amemsaidia ni simply childish!!

Es
 
Kumpenda Mtanzania mwenzetu Ray C hakutuzuii kuhoji matumizi ya ikulu visivyo!
 
Nape eti kesho FMEs akimsaidia mwanao ataita media! Tena hii ya juzi ikulu ilitoa taarifa! Maana yake Ray C amesaidiwa na ikulu kama taasisi!

- Ikulu ina media 24/7 na ni wajibu wao kutoa -record ya kila event huko, I mean I like this CCM mpya unaona sasa hawana hoja mpaka wameingia kwenye Ray C! ha! ha! ha!

- Kinana ni saaafi!!

Es!
 
Kumpenda Mtanzania mwenzetu Ray C hakutuzuii kuhoji matumizi ya ikulu visivyo!

- Ni haki ya wananchi kuuliza JK ametumia hela zake au za Serikali kabla ya kuruka na hukumu za kimtaani taani huku kwenye Great Thinkers!!, inatakiwa kuwa common sense zaidi kuliko emotional!!

Es
 
JK ni mwanamme na ray c ni mwanamke mrembo..what did you expect from the president with that decorated history with helping pretty women..so you thought you elected president!!!
Tulipokuwa vijana, tuliona fahari sana kupiga picha na wanawake wazuri ili tuwatambie marafiki zetu kwamba ni wapenzi wetu.
 
- tunaona kipa imara kwenye media itakwua Rais kumsaidia mtoto wa Rafiki yake, swali ni kama ametumia hela za serikali au za kwake binafsi kitu ambacho hamjui so ni bora kunyamaza!!

Es

nilikuwa sina mpango wakuchangia,lakini acha nichangie.
Muda wote umeshikilia hoja yako ya pesa zimetoka kwa jk au ikulu.Zile pesa zimetoka ikulu,au ujafuatilia lile chezo lilivyofanyika??picha zimepigwa na kina idara ya mawasiliano,hafla imeandaliwa na wafanyakazi wa ikulu,media zimeitwa na ikulu.
Sasa kipi kinachokufanya ujitoe akili na kuaamini mapesa ni ya jk??mbona hapigi picha akiwa anawasaidia wapwe zake hko msoga???hapo mkubwa amekosea.Hakukuwa na haja ya kusaidia MATEJA,tena nyumbani kwao mambo safi.pumbavu wewe
 
Duh bwana mkubwa nae kwa kupenda uma-harufu hajambo,yaani mateja woote wa nchi hii kamuona "kiuno bila mfupa" tu?,kama ni muungwana kiasi hicho si angefungua rehabilitation centre ili mateja wote wanufaike.
.Hapana mdau, mimi nadhani hapa kuna faida kubwa ya kumsaidia dada huyu ambaye kwa kweli ni kioo cha jamii.Alichofanya Mkuu wa Kaya naamini kinalenga kumfanya mwanadada huyu kuwa balozi mzuri wa kuelezea madhara ya wazi yanayotokana na utumiaji wa madawa ya kulevya kwa yeye mwenyewe amekumbana nayo,na jamii inajua hivyo.Na kwa kuzingatia kipaji cha hali juu cha uimbaji alichonacho mwanamama,itakuwa ni rahisi sana kwake kutumia jukwaa la sanaa ya muziki katika kupiga vita utumiaji wa unga na hivyo vijana wengi ambo ni wadau wakubwa wa athari hizo na ambao pia ni wadau wakubwa sana wa muziki,kupata elimu na ujumbe huo kirahisi zaidi.
Sote tunafahamu namna muziki ulivyo na nguvu katika kusambaza ujumbe kwa jamii.Hivyo basi,ninachokitegemea kutoka kwa mdada huyu ni kutunga tungo na kutumia majukwaa yake ya muziki kupiga vita utumiaji wa kilevi hiki hatari ili vijana wengi wapate kupona kwenye janga hili. Hivyo, nashawishika kuamini kuwa hilo bila shaka ndio lililokuwa kusudio la Mkuu wa Nchi katika kumsaidia binti huyu.
 
- So what JK ni binadam ana marafiki na ndugu, kama sio rafiki a baba yako so what ni makosa ya siasa? Childish tafutenu facts kwanza JK ametumia hela zake za mfukoni kumsaidia au ametumia za Serikali, ndio maana ninasema Chadema mna kazi sana kutafuta hoja maana so far hamna, CCM mpya imewaondolea hoja zote sasa mmo kwenye Ray c! ha! ha! kama sio kufilisika kisiasa sijui ni nini!

Es
Nampongeza mheshimiwa kwa kumsaidia huyu binti lakini napingana na argument yako hii.
Unakumbuka viapo vya TANU Le Mutuz? Kwamba 'sitatumia cheo changu kwa manufaa yangu binafsi'. Sasa kama alimsaidia Ray C kama family friend na kisha kuita waandishi Ikulu na kuweka pozi kupiga picha na kusema Rais ndio kamsaidia huoni kama ametumia cheo chake kwa manufaa binafsi?
Nadhani kama that is the case angeweza kumualika ampe shukrani kwake Bagamoyo sisi tuyasikie tu kwa watu. Sio kutumia Ikulu yetu for friendship sake.
 
Back
Top Bottom