Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,650
Ni aibu ilioje na kwa kweli haya ndiyo matokeo ya kuchagua kuongozwa na MSWAHILI. Kinachotakiwa hapa ni rais kuweka mfumo utakaowawezesha wagonjwa kupata matibabu au wenye shida kutatua shida zao badala ya kusaidia mmoja mmoja.
Hebu fafanua "mswahili !"