Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningeshangaa huu uzi bila kukuona humu mkuu!!
Wakikusikia wenzie watakuja hapa na mapovu ya kutosha mkuu, andaa kabisa nguo za kufua.Amsaini na Ali Kiba sasa na yeye atoke, amekuwa underground for a long time.
Leo unafukua I'D zako zote, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kukaza fuvu wewe
Pia unaweza kukuta ni lukole au baba levoSasa kwani hujui ni mtu m1 huyo?
Ibraah pale kuna msanii au muombolezajiRayvanny afanye kumsign Don Nalimison mapema kwenye lebo yake, kabla hajawahiwa na Diamond au Alikiba au Harmonize.
Tukumbuke, Don Nalimison ana album yake anayotarajia kuitoa mwaka huu, album inayowaumiza kichwa Wizkid na Diamond Platnums na kutishia kuwapoteza kimuziki barani africa.
Bongo Fleva ipate underground wa kuchuana na Ibraah.
Baba levo huyo.Pia unaweza kukuta ni lukole au baba levo
Rayvanny afanye kumsign Don Nalimison mapema kwenye lebo yake, kabla hajawahiwa na Diamond au Alikiba au Harmonize.
Tukumbuke, Don Nalimison ana album yake anayotarajia kuitoa mwaka huu, album inayowaumiza kichwa Wizkid na Diamond Platnums na kutishia kuwapoteza kimuziki barani africa.
Bongo Fleva ipate underground wa kuchuana na Ibraah.
NLM ndio nini? Jina kama kikundi cha waasiVannyboy mtu mbaya , hajawah niangusha , namkubali Sana mtu wangu wa nguvu ..... chata la kibabe ,music mzur .....
Tunaheshimu waliotushika mkono na bila kunyea kambi tunamshukru Mwenyezi Mungu
View attachment 1720490
View attachment 1720494
Usiwe na haraka ngoja u boss umkolee ndo tutajua kama anakibri au hanaHongera sana Chui, discipline ndio key ya mafanikio kwa kijana. Tengeneza empire yako bila kuwaletea dharau waliokufungulia milango.
Taratibu utafika usiwe kama yule mchimba chumvi anaelazimisha kuijenga Rome kwa siku moja matokeo yake kakosa direction.
Tunajua hamjapenda wala kutegemea itakuwa namna hii, mngefurahia kuwe na vita. Poleni Sana hahahahahaUsiwe na haraka ngoja u boss umkolee ndo tutajua kama anakibri au hana
Ila kampuni tanzu inaweza kuwa hatua kuelekea kampuni inayojitegemea.Hiyo itakuwa kampuni tanzu (subsidiary) ya WCB.
Hili gape lilikuwa la harmonize , nakumbuka salllam alipoulizwa , alisema harmonize alianza harakat kitambo Sana na Sallam ndo aliyempatia jina la konde gang , hapa Kati Kati dogo ndo akavimba ,Ila kampuni tanzu inaweza kuwa hatua kuelekea kampuni inayojitegemea.
Vanny boy anaweza paa na brand yake kuliko hamonize. Kitu nachomkubali vanny ni ile identity yake.Hili gape lilikuwa la harmonize , nakumbuka salllam alipoulizwa , alisema harmonize alianza harakat kitambo Sana na Sallam ndo aliyempatia jina la konde gang , hapa Kati Kati dogo ndo akavimba ,
Mkaruka njoo huku uone vitu vikubwa vinavyofanywa na mtu mzima Rayvanny hii Ni hatua kubwa Sana.