joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Haliwi kiboga wala nini,watu wanagonga mpaka mtoto wa Mganga wa kienyeji na wanadunda.Nyie mnajaza ujinga Rayvanny [emoji1]
Wenzenu anaenda liwa kiboga[emoji1787][emoji1787][emoji1]
Alimchukua????Haya mambo SUGU aliyaona mapema akachukua Binti yake mapema kwa Faiza.
Inawezekana mkuu, ukipiga hesabu vizuri mtoto kaanza shule na miaka mitano hapo11-7 = 4.. mmh! Hii kama sio togwa, acha nikaushe
Majani hana huo uwezo mkuu. Na kama mzazi inabidi atumie hekima sana. Ningekuwa mie ni majani ningemuita binti, kwanza namuuliza maswali ya msingi then namuita rayvanny au kina Tale na Salam kama watu wazima wenzake, wakaweka sawa. Ili kuweka wingu sawa, RayvanΓ±y akajitokeza kuomba msamaha na kutubu na mtoto kuanzia hapo block life la mitandao.. ila akilete ubabe atazidi kujishusha na kuona hana tofauti na kiroba au furushi tuNyie mnajaza ujinga Rayvanny [emoji1]
Wenzenu anaenda liwa kiboga[emoji1787][emoji1787][emoji1]
Nimeamua kukausha tu mkuu. Na wala sijabisha πππInawezekana mkuu, ukipiga hesabu vizuri mtoto kaanza shule na miaka mitano hapo
Rayvanny hana uwezo wa kulipa mabaunsa, anaunga unga tuuWasanii wa siku hizi wanatembea na mabaunsa, sio wale wa enzi za kina Juma Nature unaweza kuwaokota tu kwenye vibanda vya gongo
Unamchukia sana Pfunk au alikutia akakunyima hela ya penzi?Fala yule hana maajabu. Mtoto amuharibu yeye na demu wake alafu analeta ukuda. Huwezi vuna usichopanda, alimuharibu kajala.. akaushe hekima na busara itumike tu hapo, tofauti na hapo ataenda kweli nyea ndoo
Mkuu, ukiona Majani amefikia kumlaumu mama hadhalani basi ufahamu ame-play sana role ya baba hadi kashindwa kwa kama kuharibika, Paula hajaharibika leo na sababu kubwa ya ya kuharibika huyu binti ni Kajala. Mistake aliyoifanya Majani ni kumuacha Paula kwenye mikono ya Kajala huku akifahamu wazi huyo haya huyo Kajala mwenyewe aliharibika wakati akiwa msichana mdogo tu! Wakati mwingine ndo haya mambo ya kuzaa wakati usichana na usela haujaisha manake sidhani kama Majani na mwenyewe alikuwa anaishi maisha ya kumlea mtoto wa kike, no wonder watoto wake wote wananalelewa na mama zao!!!Mkuu inaniuma sana, huyo binti ( Paula ) kuishi maisha ambayo hakupaswa kuyaishi. Foundation ya Kajala na Pfunk katika malezi ya huyu mtoto ni mbovu. Pfunk na amekosea zaidi kama mzazi kuelekeza lawama. Katika malezi hata siku moja usijichanganye na kuanza onesha lawama au elekeza lawama sehemu flani. Yeye kama mwanaume ambae tunaamini ni kichwa ali fail sana. Bado nafasi ya kuweka Paula vizuri ipo
Ona sasa ulivyo mjing.a, unakimbilia kuanza kutukana. Naongea logic unawaza uharo. Hana uwezo wa kufanya chochote kwa Rayvanny, akijichukulia sheria mkononi sheria na vyombo husika vita muwajibisha, hayupo juu ya mamlaka. Sio unadandia watu ovyo ovyoUnamchukia sana Pfunk au alikutia akakunyima hela ya penzi?
Kwahiyo wale anaotembea nao Ni wakinani?Rayvanny hana uwezo wa kulipa mabaunsa, anaunga unga tuu
Basi hapo Majani asipelekea lawama kwa Kajala peke yakez walitakiwa kama wazazi nae kama baba, wangekaa pamoja wakaondoa tofauti na kurekebisba palipo haribika. Paula bado mdogo kuna nafasi ya kurekebishika. Na sio kumkatia tamaa mtoto wakati nafasi ipoMkuu, ukiona Majani amefikia kumlaumu mama hadhalani basi ufahamu ame-play sana role ya baba hadi kashindwa kwa kama kuharibika, Paula hajaharibika leo na sababu kubwa ya ya kuharibika huyu binti ni Kajala. Mistake aliyoifanya Majani ni kumuacha Paula kwenye mikono ya Kajala huku akifahamu wazi huyo haya huyo Kajala mwenyewe aliharibika wakati akiwa msichana mdogo tu! Wakati mwingine ndo haya mambo ya kuzaa wakati usichana na usela haujaisha manake sidhani kama Majani na mwenyewe alikuwa anaishi maisha ya kumlea mtoto wa kike, no wonder watoto wake wote wananalelewa na mama zao!!!
Ni shule gani hiyo ilimchukua mwanafunzi aliepata zero form 4 tuanze nayo kwanza kabla ya rayvanny
Watu wana mkweza huyo majani utafikiri yupo juu ya vyombo vya kima mlaka. Akaguse aone moto wake, na uzuri utawala huu sio ule unanijua mie nani za kizembe kizembe ππππKwahiyo wale anaotembea nao Ni wakinani?
Kajala kasoma jiteute..miaka gani hiyo?
Kajala kasoma jiteute..miaka gani hiyo?
Ile hoja ya watoto kutopata malezi kutoka pande zote mbili hapo ina-apply sana!! Hata yule Patricia, sidhani kama Majani alishawahi kuishi nae wakati akiwa mdogo! Na ukichukulia u-star na Majani na maisha yake wakati yupo kijana, isingekuwa rahisi kwake kuishi na mtoto unless kama angekuwa ameoa mama wa hao watoto! Lakini kwa upande mwingine, Kajala nae ndie amechangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu hakuwa anaishi na Paula kama binti yake but more like her best friend! Mbona binti wa Monalisa hatujawahi kusikia akiwa na scandals za hovyo hovyo!! Watu wengi walimfahamu binti wa Monalisa baada ya kupasua paper ya Form IV huku Paula akiwa kafeli vibaya sana wakati walikuwa darasa moja!! Na huyo mtoto wa Monalisa ni mfano tu, kuna mastaa kibao ambao ni Single Mothers lakini mabinti zao hatuwajui kama tulivyokuwa tunamfahamu Paula! Ni kama Irene Uwoya! Hivi yule kijana wake angekuwa ndo mtoto wa kike, nani angeshangaa akiwa kama Paula!!Basi hapo Majani asipelekea lawama kwa Kajala peke yakez walitakiwa kama wazazi nae kama baba, wangekaa pamoja wakaondoa tofauti na kurekebisba palipo haribika. Paula bado mdogo kuna nafasi ya kurekebishika. Na sio kumkatia tamaa mtoto wakati nafasi ipo