blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Aisee...!!!So, Rayvann , Harmonize ni baba mkwe wake kama ilivyo kajala ni mama mkwe ?
ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee...!!!So, Rayvann , Harmonize ni baba mkwe wake kama ilivyo kajala ni mama mkwe ?
ππππππ
Kama ni kweli basi ile kauli ya P Funk aliyo itoa wakati akihojiwa na Dizzim "Paula ameshindikana....." ,aliyaona haya mapema.
Nimeumia kama mama mwenye watoto wa kike na kiume, nna uhakika Kajala pia anaumia.
Anachopitia P.Funk ni kile alichowapitisha wazazi wa Kajala wakati Kajala akiwa na umri sawa Paula alionao sasa
Hakuna kitu utakachofanya kiwe kizuri au kibaya kisikurudie
Nimeumia kama mama mwenye watoto wa kike na kiume, nna uhakika Kajala pia anaumia... hakuna mama angependa mwanae apitie magumu aliyopitia yeye
Anachopitia P.Funk sasa ni kile alichowapitisha wazazi wa Kajala wakati Kajala akiwa na umri sawa Paula alionao sasa
Hakuna kitu utakachofanya kiwe kizuri au kibaya kisikurudie
Mungu amnusuru huyu mtoto. Bado ni mdogo sana kwa vitu hivi tena kwenye mitandao
Kapo ipiππMama Tulia bas ,tunaiombea hii couple ifike mbali .....
P Funk amesahau akichokuwa anapanda.
π¨π¨π¨π¨π€¦π€¦π€¦π€¦π€¦Kwa hiyo konde boyi atampangia mahari reivani...noma sana.
Yana mrudie mala ngapi ? Si huyo mtoto hata baba mwenyewe kasema kashindikana.. ndio tayari alishavuna alichopanda anakula tu sasa mazao yakeKarma is real
Mungu amnusuru Paula, yamrudie P Funk mwenyewe
Mungu hana upendeleo kama wakoKarma is real
Mungu amnusuru Paula, yamrudie P Funk mwenyewe
P Funk atakua anaumia sana,Kama ni kweli basi ile kauli ya P Funk aliyo itoa wakati akihojiwa na Dizzim "Paula ameshindikana....." ,aliyaona haya mapema.
Tatizo mama ajiheshim hatukatai Kufanya ila si vizuri kufanya mbele za watoto,kipindi kile anatoka na Quick Racka wanapigana madenda kwenye magari we unazani mtoto una mfunza nini.Mdingi kasanda kwa mwana alie mzaa.. hiyo nayo ni mpya na hasara ya malezi ya kimtandao.. Tembo hashindwi na Mkonge wake..
Waamini wa Imani zingine tunafundishwa kuwaombeana ili kutoka kwenye laana kama hizoMungu hana upendeleo kama wako
Ataamua anavyoona sawa
Hiyi huyo Paulo sijui Paula anasoma?Tatizo mama ajiheshim hatukatai Kufanya ila si vizuri kufanya mbele za watoto,kipindi kile anatoka na Quick Racka wanapigana madenda kwenye magari we unazani mtoto una mfunza nini.
Sasa atafanya nini wakati mama mwenyewe nae dish lishayumba.P Funk atakua anaumia sana,
Sawa lakini umesema yamrudie majani mwenyewe na amnusuru PaulaWaamini wa Imani zingine tunafundishwa kuwaombeana ili kutoka kwenye laana kama hizo
Sio upendeleo bali ni maombi